chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
nyie ndo wale mkiumwa mafua maandika urithi kama hela kazitafuta mwenyewe mwache azitumie kujitibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#punguzamigizo..PESA inayo potezwa kulipa wanasiana sasa itatumiwa kutekeleza cancer centers kwa wards. Ekuru Aukot for presidentAre you sure about this??
Kuhusu Prof. Anyang' Nyong'o tuzidi kumuombea, ila sio kwamba amepona. Yeye aliwahi kidogo kwahiyo " Prognosis yake ni nzuri kidogo, kwamba anaweza kuishi muda mrefu kidogo, lakini anything can happen anytime. Miezi kadhaa iliyopita niliposikia aliugua ghafla na kulazwa Hospital, nilishituka sana.Kuna wengi ambao wamepata matibabu na wakapona. Mfano mzuri ni babake Lupita Nyong'o, gavana wa gatuzi la Kisumu Prof. Anyang' Nyong'o.
Mko vizuri kutushinda lakini hayo mahospitali uliyoyataja hayawatoshelezi ninyi wenyewe. Kama serikali yenu inataka kufanya mambo ya medical tourism ili Wakenya waache kuenda India waanze kuja T.Z itabidi mjenge hospitali zaidi ya tano zenye uwezo wa kutibu cancer. Sio hospitali mbili kama ulivyosema hapo awali. Mko vizuri kutushinda lakini mna hospitali chache sana. Wakenya kwa maelfu wana cancer nasikia zaidi ya elfu arubaini wanapata cancer kila mwaka. Suluhisho ni serikali ya KE kuunda mahospitali ya saratani.Sasa mbona unaanza kuwa negatives badala ya kuwa positive?. Kila Hospitali iko na level yake ya kufanya kazi. Cancer screening Equipments huwezi kuzikuta katika level ya Health centres.
Tanzania Hospital zote za Referral zinafanya cancer screening free of charge, ila advanced treatment ya Chemotherapy kwa kutumia "Lenear accelerator" inapatikana Ocean road na Bugando pekee., Ocean road ni free of charge, wakati Buganda unalipa bei yenye Government subsides kwasababu hiyo Hospital ni PPP.
Kumbuka huko kwenu Kenya, " Lenear accelerator Machines ipo Agha Khan Hospital pekee, na ni very expensive for 95% of Kenyans.
Nimekosea wapi, wakati nilichofanya ni kumjibu tu aliyeleta hoja kwamba tusalimu amri tu na tukubali kufa? Kwa kumueleza kwamba mtu akijua kwamba ana saratani mapema huwa ana chance kubwa zaidi ya kusurvive. Itakuwa labda ulinuia kumnukuu mtu mwingine.Naona unalichukulia lightly,Mtu kupata ajali..si kitendo cha mara moja??,jiuguze miezi/miaka huku ukijua unakufa sio kitu rahisi..especially ukiwaona familia yako iko distressed na ugonjwa wako..na wewe uko helpless...NO,usilinganishe kifo cha ajali iwe sawa na kifo cha saratani..
Tony254. Tatizo tulilonalo sio idadi ya Hospital, tatizo ni wananchi kutumia hizi Hospital, ni idadi ndogo sana ya wananchi wenye matatizo ya cancer wanaotumia huduma ya hizi Hospital kutokana na sababu mbalimbali.Mko vizuri kutushinda lakini hayo mahospitali uliyoyataja hayawatoshelezi ninyi wenyewe. Kama serikali yenu inataka kufanya mambo ya medical tourism ili Wakenya waache kuenda India waanze kuja T.Z itabidi mjenge hospitali zaidi ya tano zenye uwezo wa kutibu cancer. Sio hospitali mbili kama ulivyosema hapo awali. Mko vizuri kutushinda lakini mna hospitali chache sana. Wakenya kwa maelfu wana cancer nasikia zaidi ya elfu arubaini wanapata cancer kila mwaka. Suluhisho ni serikali ya KE kuunda mahospitali ya saratani.
Leukemia 😭😭😭Ya damu
Wewe tayari una kansa ya korodani nini? Mbona unapiga yowe sana usaidiwe usaidiwe kwani vipi? Halafu unaonekana una maisha ya hovyo sana dogo. What's wrong buddy?Serikali itusaidie tu otherwise hatuwezi toboa
Hospitals kubwa za serikali zaidi ya 5 zinatoa matibabu kama yaliyopo nchi zilizoendeleaSasa wewe unataka Wakenya karibia milioni hamsini waje watibiwe katika hospitali moja? Hio hospitali moja hata haiwatoshi ninyi Watanzania milioni hamsini na tano. Nilidhani hospitali zote public T.Z zinafanya checkup? Kumbe ni hospitali moja?
What are you trying to say here....ati Aghakan pekee?Sasa mbona unaanza kuwa negatives badala ya kuwa positive?. Kila Hospitali iko na level yake ya kufanya kazi. Cancer screening Equipments huwezi kuzikuta katika level ya Health centres.
Tanzania Hospital zote za Referral zinafanya cancer screening free of charge, ila advanced treatment ya Chemotherapy kwa kutumia "Lenear accelerator" inapatikana Ocean road na Bugando pekee., Ocean road ni free of charge, wakati Buganda unalipa bei yenye Government subsides kwasababu hiyo Hospital ni PPP.
Kumbuka huko kwenu Kenya, " Lenear accelerator Machines ipo Agha Khan Hospital pekee, na ni very expensive for 95% of Kenyans.
Kanumba alikufa kwa kusukumwa ...HIV,diabetes mellitus,cancer ....usipate ugonjwa mmojawapo kati ya hayo matatu.
Huu ni upuuziHii saratani ni shetani mbaya sana. Huu mwezi pekee imeangusha watu watatu mashuhuri. Joyce Laboso amefariki sasa hivi. Alikuwa governor wa Bomet. Saratani inakula pesa yako yote halafu ukafilisika unatuacha. Mungu awalaze mahali pema peponi. Cancer should be declared a national disaster. RIP
BREAKING: Bomet Governor Joyce Laboso is dead. More to follow. pic.twitter.com/H25Dixx6RC
— NTV Kenya (@ntvkenya) July 29, 2019
Kaka Tema mate chini.Sasa mbona unaanza kuwa negatives badala ya kuwa positive?. Kila Hospitali iko na level yake ya kufanya kazi. Cancer screening Equipments huwezi kuzikuta katika level ya Health centres.
Tanzania Hospital zote za Referral zinafanya cancer screening free of charge, ila advanced treatment ya Chemotherapy kwa kutumia "Lenear accelerator" inapatikana Ocean road na Bugando pekee., Ocean road ni free of charge, wakati Buganda unalipa bei yenye Government subsides kwasababu hiyo Hospital ni PPP.
Kumbuka huko kwenu Kenya, " Lenear accelerator Machines ipo Agha Khan Hospital pekee, na ni very expensive for 95% of Kenyans.