Ukipata Sup diploma ya afya unarudia mwaka, hii sio fair hata kidogo

Ukipata Sup diploma ya afya unarudia mwaka, hii sio fair hata kidogo

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Mtu wa degree akipata sup anachomoa na maisha yanasonga

Ila wa diploma akipata sup haruhusiwi kuingia mwaka unaofata mpaka achomoe

Mbaya zaidi Kuna mitihani ya written na oral au Ospe au mitihani ya wodini
Ukifaulu written na ukafeli oral unarudishwa nyuma unawaacha wenzako wasonge mbele wewe unabaki hapo hapo

Hata Kama written umepata 90 na oral umepata 48 unarudia hii sio fair, angalau wangekuwa wanaangalia wastani kuliko kuangalia component moja moja.

Mtihani wa oral wakiamua kukufelisha wanakufelisha tu huu sio uungwana
 
Mbona kawaida tu hapo IFM mwaka 2013 kurud nyuma ukiwa na sup 1 tu ukashindwa ku clear unarudia mwqka hata kama una A zote..
Achen kulia lia vijana
 
Serikali rekebisheni ratiba zenu sup isimfanye mtu akwame kuendelea mbele

Mbona degree mtu anapata sup na ana carry kabisa

Kwa nini huku mnaweka ugumu kiasi hicho
 
Serikali rekebisheni ratiba zenu sup isimfanye mtu akwame kuendelea mbele

Mbona degree mtu anapata sup na ana carry kabisa

Kwa nini huku mnaweka ugumu kiasi hicho
Ulikwenda carry shule???soma mdogo angu hutaki waachie chuo chao
 
Serikali rekebisheni ratiba zenu sup isimfanye mtu akwame kuendelea mbele

Mbona degree mtu anapata sup na ana carry kabisa

Kwa nini huku mnaweka ugumu kiasi hicho
Hapo kwenye carry labda kama haubadili NTA ila kama chuo kinatumia huo mfumo mpaka uclear ndio unaingia darasa lingine,
Pambana mkuu shule haijawahi kua rahisi though hapo kwenye sup mtu kurudia mwaka mzima wanakosea
 
Hapo kwenye carry labda kama haubadili NTA ila kama chuo kinatumia huo mfumo mpaka uclear ndio unaingia darasa lingine,
Pambana mkuu shule haijawahi kua rahisi though hapo kwenye sup mtu kurudia mwaka mzima wanakosea
Sup za mchongo Kama sup za oral
Unajibu fresh ila wanakuwekea maksi wanayojisikia.
 
Hiyo normal sana,pale SUA kuna mchizi wangu mmoja alianza digrii ya miaka mitatu mwaka 2015,lkn hadi sasa bado hajamaliza,ni mwendo wa kurudia mwaka.Wee acha tu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Mtu wa degree akipata sup anachomoa na maisha yanasonga

Ila wa diploma akipata sup haruhusiwi kuingia mwaka unaofata mpaka achomoe

Mbaya zaidi Kuna mitihani ya written na oral au Ospe au mitihani ya wodini
Ukifaulu written na ukafeli oral unarudishwa nyuma unawaacha wenzako wasonge mbele wewe unabaki hapo hapo

Hata Kama written umepata 90 na oral umepata 48 unarudia hii sio fair, angalau wangekuwa wanaangalia wastani kuliko kuangalia component moja moja.

Mtihani wa oral wakiamua kukufelisha wanakufelisha tu huu sio uungwana
Soma acha kukariri
 
Mtu wa degree akipata sup anachomoa na maisha yanasonga

Ila wa diploma akipata sup haruhusiwi kuingia mwaka unaofata mpaka achomoe

Mbaya zaidi Kuna mitihani ya written na oral au Ospe au mitihani ya wodini
Ukifaulu written na ukafeli oral unarudishwa nyuma unawaacha wenzako wasonge mbele wewe unabaki hapo hapo

Hata Kama written umepata 90 na oral umepata 48 unarudia hii sio fair, angalau wangekuwa wanaangalia wastani kuliko kuangalia component moja moja.

Mtihani wa oral wakiamua kukufelisha wanakufelisha tu huu sio uungwana
Ndo Muundo Yao iko hivyo. Hta walimu iko hivyo so elewa hivyo. Gharama ya HYo mitihan ni kubwa sana na inasahihishwa collectively, so ukasupp wakakutajia hela ndefu Ili u sup c utalalmika pia. Kila level in principal yake, Kwan anayefel drs la Saba, form four ,au six si Ndo mfumo wa kusubiria next year... HYo Ndo gharama ya kufell NDugu.
 
Ndo Muundo Yao iko hivyo. Hta walimu iko hivyo so elewa hivyo. Gharama ya HYo mitihan ni kubwa sana na inasahihishwa collectively, so ukasupp wakakutajia hela ndefu Ili u sup c utalalmika pia. Kila level in principal yake, Kwan anayefel drs la Saba, form four ,au six si Ndo mfumo wa kusubiria next year... HYo Ndo gharama ya kufell NDugu.
Upo sahihi ndugu vijana wasome sasa wataliwa vichwaa
 
acheni kupenda mteremko ,komaeni vijana.ndo maana mnafeli Hadi hesabu za kuvhagua .wakati zamani unapewa swari ,unakokotoa Hadi unapata jibu ,na tulikuwa tunatusua ma elboru .vijana siku hizi ubongo wenu sijui umekumbwa nn ,wavivu kujishughurisha !! Mnapenda slope Sana !!!
 
Back
Top Bottom