Kha...hii elimu ya kijinga kweliMbona kawaida tu hapo IFM mwaka 2013 kurud nyuma ukiwa na sup 1 tu ukashindwa ku clear unarudia mwqka hata kama una A zote..
Achen kulia lia vijana
MD3 sup sio kilema tunasapuaππ usipanicMtu wa degree akipata sup anachomoa na maisha yanasonga
Ila wa diploma akipata sup haruhusiwi kuingia mwaka unaofata mpaka achomoe
Mbaya zaidi Kuna mitihani ya written na oral au Ospe au mitihani ya wodini
Ukifaulu written na ukafeli oral unarudishwa nyuma unawaacha wenzako wasonge mbele wewe unabaki hapo hapo
Hata Kama written umepata 90 na oral umepata 48 unarudia hii sio fair, angalau wangekuwa wanaangalia wastani kuliko kuangalia component moja moja.
Mtihani wa oral wakiamua kukufelisha wanakufelisha tu huu sio uungwana
Serikali rekebisheni ratiba zenu sup isimfanye mtu akwame kuendelea mbele
Mbona degree mtu anapata sup na ana carry kabisa
Kwa nini huku mnaweka ugumu kiasi hicho
Tena wangewakazia zaidiTatizo kozi za afya zimevamiwa kila mtu anataka avae koti jeupe...sasa wakurungwa wamelisoma game wameamua kuwanyoosha ili wawapunguze...