Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Maombi huja baada ya kazi.Hi gentlemen!
Siku moja huku nampiga demu mmoja hivi aliyejaaliwa utamu nilipigwa kirungu( niliombwa nitoe ahadi yoyote)
Duuuhhhhh, nilikomaa nikajifanya utamu umenikolea siwezi kuongea ili tu nisije kumwahidi kumpeleka Dubai ilhali hata Passport sina.
Je, wewe wazungu wakitaka kutoka na demu anakuomba pesa utasalimika?
Ahahahahaha.Hapo inaonekana hukua unampelekea moto kisawa sawa so shida inaanzia kwako
Huyo demu atakuwa na ma spiritual husbands, yaani mi nampiga RUNGU halafu nipigwe tena kirungu wakati huohuo li- Bujibuji linataka kutoka, si ndio uchawi wenyewe huo!!!Hi gentlemen!
Siku moja huku nampiga demu mmoja hivi aliyejaaliwa utamu nilipigwa kirungu( niliombwa nitoe ahadi yoyote) kipindi ambacho kichwa cha juu kimeishiwa nguvu dhidi ya kichwa cha chini.
Duuuhhhhh, nilikomaa nikajifanya utamu umenikolea siwezi kuongea ili tu nisije kumwahidi kumpeleka Dubai ilhali hata Passport sina.
Je, wewe wazungu wakitaka kutoka na demu anakuomba pesa utasalimika?
Tajitahidi chiefDereva awapo katika safari sio vyema awe anaongeaongea maana anaweza kusababisha ajali.
Anaruhusiwa kuongea tu pale anapotoa tangazo labda la vituo... Mfano vituo vyenyewe ni kama miguno ambayo kikawaida haikwepeki
Peleka moto
Pelekea moto
Ukiona anauliza maswali jua hupeleki moto
Huyo demu atakuwa na ma spiritual husbands, yaani mi nampiga RUNGU halafu nipigwe tena kirungu wakati huohuo li- Bujibuji linataka kutoka, si ndio uchawi wenyewe huo!!!
Mambo ya wanawake wa mjini mi siyawezi, kwenye waganga wamo, kwenye dua za Sharifu Majini wamo, na kwa Mwamposa wako viti vya mbele, na wakitoka huko wanakimbilia kanisani kwa kina johnthebaptist , Kimara Korogwe kwa Mastai
Daaaaahh.Mama J yeye anataka pombe tu[emoji23][emoji23]
lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wakati unasema hayo ukiwa kileleni au kando?..Akili yangu huwa iko smart sana Wote wa tendo.
Kuna mdada mmoja alikua anatabia hizo za kukuambia shida zake katikati ya tendo afu anataka majibu hapo hapo.
Nlimchana live, bila kupepesa macho.
Tena kwa ukali kabisa na sikU Ito nikasusa kabisa kuendelea kumtafuna.
Nlimwambai,
Always hua siendeshwi na hisia, asitake kuleta tabia za kijambazi hapa kunitapeli kupitia sex.
Kama Kuna mganga amempa dawa kapaka uko chini, aje anitegezee with was sex amwambie dawa yake Ni feki.
Niko smart zaidi ya anvofikiria, nishakutana na nyuchi Kama zake Zaid ya elfu, nimeshacheza mpaka Ex
(na clip 2 za zamani kwny sim nikamuonyesha).
kwaiyo asijione special sana au akahisi mi Ni mgeni wa sex ili aitumie kuni-manipulate.
Kama ananiuzia uchi aweke TU wazi nifike Bei na sio kutumia sex Kama kichaka cha kupitishia shida zake za pesa.
Tangu sikU iyo ALIKOMA IYO TABIA, Mwezi mmoja baadae TUKAACHANA[emoji3525]
Maneno yake yalikua Ni KERO Sana, anauliza afu anataka majibu ya papo kwa papo.Wakati unasema hayo ukiwa kileleni au kando?..
Ama uliweza ku escape basi kichwa cha juu kilikuwa na nguvu.Hi gentlemen!
Siku moja huku nampiga demu mmoja hivi aliyejaaliwa utamu nilipigwa kirungu( niliombwa nitoe ahadi yoyote) kipindi ambacho kichwa cha juu kimeishiwa nguvu dhidi ya kichwa cha chini.
Duuuhhhhh, nilikomaa nikajifanya utamu umenikolea siwezi kuongea ili tu nisije kumwahidi kumpeleka Dubai ilhali hata Passport sina.
Je, wewe wazungu wakitaka kutoka na demu anakuomba pesa utasalimika?
Baad ya kutoka wanaenda kupiga kirungu sindio hivyo mdau au nakosea?Huyo demu atakuwa na ma spiritual husbands, yaani mi nampiga RUNGU halafu nipigwe tena kirungu wakati huohuo li- Bujibuji linataka kutoka, si ndio uchawi wenyewe huo!!!
Mambo ya wanawake wa mjini mi siyawezi, kwenye waganga wamo, kwenye dua za Sharifu Majini wamo, na kwa Mwamposa wako viti vya mbele, na wakitoka huko wanakimbilia kanisani kwa kina johnthebaptist , Kimara Korogwe kwa Mastai
Nashanga unaweza kutana na demu ana real love halafu humpendi,moyo na akili viko kwingine. Haya maisha sio fair wakati mwingine.Daaaaahh.
Halafu mademu wenye real love kama mama J adimu sana