Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Kikwete hakuitekeleza muhula wake wa Kwanza au wapili .Wajinga ndio mliwao.
Ujinga ni kutoelewa. Ubungo Flyover ilifadhiliwa na World Bank wakati wa Kikwete, na design ya ujenzi wake wakati wa Kikwete.
Magufuli alikuta kila kitu kimetayarishwa.
Mawazo ya watanzania wengi ni kujipeg kimaendeleo na kiongozi fulani tu.Kwanini Kikwete hakuitekeleza muhula wake wa Kwanza au wapili .
Hata NISIPOPITA darajani namkumbuka Magufuli tu.Jina la John Pombe Magufuli limejikita katika historia ya Tanzania kama kiongozi mwenye maono na utendaji wa kasi. Moja ya alama kubwa za uongozi wake ni Ubungo Flyover, daraja ambalo limebadilisha mandhari na mtiririko wa usafiri katika jiji la Dar es Salaam.
Kabla ya ujenzi wa daraja hili, eneo la Ubungo lilikuwa maarufu kwa msongamano wa magari. Safari za kwenda na kutoka katikati ya jiji zilichukua muda mrefu, na hali hii iliathiri sana shughuli za kiuchumi na kijamii. Watu walikuwa wakipoteza muda mwingi barabarani, hali ambayo ilisababisha hasara kubwa ya kiuchumi.
Magufuli, akiwa rais wa Tanzania, aliona umuhimu wa kuboresha miundombinu kama sehemu ya mkakati wake wa kukuza uchumi. Ndipo alipoanzisha mradi wa ujenzi wa Ubungo Flyover. Ujenzi wa daraja hili haukuwa rahisi. Kulikuwa na changamoto nyingi, ikiwemo uhamishaji wa makazi na biashara zilizokuwa kandokando ya barabara. Lakini kwa maono yake thabiti na ufuatiliaji wa karibu, daraja lilijengwa kwa wakati na kwa viwango vya hali ya juu.
Sasa, unapopita Ubungo Flyover, unakutana na mtiririko mzuri wa magari, mabasi na malori. Muda wa safari umepungua kwa kiasi kikubwa, na watu wanaweza kusafiri kwa urahisi zaidi. Hali hii imechangia kupunguza msongo wa akili kwa watumiaji wa barabara na kuongeza ufanisi katika biashara na shughuli za kila siku.
Kila mara unapopita Ubungo Flyover, ni vigumu kutopata mawazo ya John Pombe Magufuli. Uthubutu wake, maono yake, na kazi yake ya bidii vimeacha alama isiyofutika katika historia ya Tanzania. Daraja hili sio tu njia ya kupita magari, bali pia ni kumbukumbu ya kiongozi ambaye alifanya kazi kwa bidii kuboresha maisha ya Watanzania. Ni ushuhuda wa jinsi kiongozi mmoja anaweza kubadilisha nchi kwa maono na utendaji wa dhati.
Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate na Kairuki, matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.Bwawa la Umeme la Nyerere, SGR, Kuhamisha serikali kwenda Dodoma, Daraja la Busisi urefu wa karibu kilometer 4, Ikulu ya Dodoma. Hivi vitu VYENYE MASHIKO vitamfanya akumbukukwe milele!
Kuna Msemo siku njema huonekana Asubuhi sio usiku wa kiza ndio mtazamo wangu, ingekuwa kama wengine mihula 2 na hatujaona kitu Hadi usiku, sijui ingekuaje Kwa Magufuli wa muhula moja.Mawazo ya watanzania wengi ni kujipeg kimaendeleo na kiongozi fulani tu.
Uongozi wa Rais nii bipindi viwili vya miaka mitano mitano.
Rais na serikali yake hailali kipindi cha pili cha uongozi na inaendelea na mipango endelevu ya miaka 25.
We should not restrict our thinking kwa kiongozi mmoja.
Kuna suala zima la gharama za kuhamia Dodoma kutowekwa wazi, matumizi ya leo kazi inafanyika Dar kesho inahamia Dodoma ni makubwa na hayawekwi wazi.Bwawa la Umeme la Nyerere, SGR, Kuhamisha serikali kwenda Dodoma, Daraja la Busisi urefu wa karibu kilometer 4, Ikulu ya Dodoma. Hivi vitu VYENYE MASHIKO vitamfanya akumbukukwe milele!
Labda wewe ndio unamkumbuka sio woteJina la John Pombe Magufuli limejikita katika historia ya Tanzania kama kiongozi mwenye maono na utendaji wa kasi. Moja ya alama kubwa za uongozi wake ni Ubungo Flyover, daraja ambalo limebadilisha mandhari na mtiririko wa usafiri katika jiji la Dar es Salaam.
Kabla ya ujenzi wa daraja hili, eneo la Ubungo lilikuwa maarufu kwa msongamano wa magari. Safari za kwenda na kutoka katikati ya jiji zilichukua muda mrefu, na hali hii iliathiri sana shughuli za kiuchumi na kijamii. Watu walikuwa wakipoteza muda mwingi barabarani, hali ambayo ilisababisha hasara kubwa ya kiuchumi.
Magufuli, akiwa rais wa Tanzania, aliona umuhimu wa kuboresha miundombinu kama sehemu ya mkakati wake wa kukuza uchumi. Ndipo alipoanzisha mradi wa ujenzi wa Ubungo Flyover. Ujenzi wa daraja hili haukuwa rahisi. Kulikuwa na changamoto nyingi, ikiwemo uhamishaji wa makazi na biashara zilizokuwa kandokando ya barabara. Lakini kwa maono yake thabiti na ufuatiliaji wa karibu, daraja lilijengwa kwa wakati na kwa viwango vya hali ya juu.
Sasa, unapopita Ubungo Flyover, unakutana na mtiririko mzuri wa magari, mabasi na malori. Muda wa safari umepungua kwa kiasi kikubwa, na watu wanaweza kusafiri kwa urahisi zaidi. Hali hii imechangia kupunguza msongo wa akili kwa watumiaji wa barabara na kuongeza ufanisi katika biashara na shughuli za kila siku.
Kila mara unapopita Ubungo Flyover, ni vigumu kutopata mawazo ya John Pombe Magufuli. Uthubutu wake, maono yake, na kazi yake ya bidii vimeacha alama isiyofutika katika historia ya Tanzania. Daraja hili sio tu njia ya kupita magari, bali pia ni kumbukumbu ya kiongozi ambaye alifanya kazi kwa bidii kuboresha maisha ya Watanzania. Ni ushuhuda wa jinsi kiongozi mmoja anaweza kubadilisha nchi kwa maono na utendaji wa dhati.
Jamani, Kijazi si ni TZR?Endelea kumuenzi kwa kuiita kijazi interchange.
Mkuu wewe ni mtu makini sana so nimeshangaa kidogo unaposema JPM ALIANZISHA..... mie nachojua DMDP enzi za JK ndio ilishachora ramani kwenye kipengele cha "decongestion dar es salaam". Humo ndani kulikua na barabara za mwendokasi, flyovers, stendi mpya n.k so labda ungesema JPM aliendeleza ramani za DMDP ambazo tayari zilishaanzwa telekezwa na JK kwa kujengwa mwendokasi na mabasi kuletwa.Magufuli, akiwa rais wa Tanzania, aliona umuhimu wa kuboresha miundombinu kama sehemu ya mkakati wake wa kukuza uchumi. Ndipo alipoanzisha mradi wa ujenzi wa Ubungo Flyover. Ujenzi wa daraja hili haukuwa rahisi. Kulikuwa na changamoto nyingi, ikiwemo uhamishaji wa makazi na biashara zilizokuwa kandokando ya barabara. Lakini kwa maono yake thabiti na ufuatiliaji wa karibu, daraja lilijengwa kwa wakati na kwa viwango vya hali ya juu.
TZR ni MfugaleJamani, Kijazi si ni TZR?
Tazara ni mfugale....alikua na kazi ya kugawa majina ya mali za umma kwa washkaji zakeJamani, Kijazi si ni TZR?
Tazara ni mfugale....alikua na kazi ya kugawa majina ya mali za umma kwa washkaji zake
Kwani umesikia kuna mtu anaiita kijazi? Si bora tuiite EtwegeSi muende mkabadilishe hayo majina?
Waliasisi afu wakafanya Nini? Jk had 10 years on his name!!! Siasa za ahadi hatutaki tunataka Kuona matokeo, hapo ndo jpm alipowapiga gap hao watoto wa mjini, haya wanasema mama kafungua nchi, wakati tunashindwa kuagiza hata vitu vya Dola 10000 tu nje, hakuna Dola, kupata dola ishakua kama Moja ya majukumu yetu ya kila sikuSawa, hongera kwake.
Nikiwa sjna hata chembe ya wivu na unafiki na uzandiki; binafsi napeleka kongole nyingi tu pia kwa jk na timu yake maana ndo waasisi wa hivyo vitu. Upimaji wa sehemu nyingi pale dar ulifanyika nikiwa naona hivi kwa macho yangu.
Unataka kuagiza nini nje cja Dolla 10,000 tukupe ushauri?Waliasisi afu wakafanya Nini? Jk had 10 years on his name!!! Siasa za ahadi hatutaki tunataka Kuona matokeo, hapo ndo jpm alipowapiga gap hao watoto wa mjini, haya wanasema mama kafungua nchi, wakati tunashindwa kuagiza hata vitu vya Dola 10000 tu nje, hakuna Dola, kupata dola ishakua kama Moja ya majukumu yetu ya kila siku