Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Dah mimi nimewahi safiri na Mtoto mmoja kutoka Tabora na Bus la Colar Star alikua mkali kinoma yaani konda aliamua kinipambanisha. Akanipatia namba dahhh bahati mbaya ikapotea. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian naumia maana hoteln pale nimeclere bill.. ila na enjoy sana ila nimejifunza kitu Dem wako au wife akisafiri kwenye hizi bus akibahatika kukaa na mwanaume ni rahis sana kutongozwa

Vile vile ni rahisi kukataa hilo tongozo........

Easy come easy go......
 
Raha ukutane na bint anayerud chuo usipopakuwa mzigo Ni ufa-la wako Tu au uwe huna hela ya zarula!!!
mkuu umelenga mle mle kadem kenyewe ni cha chuo ifm mbona tumelala sinza nimefanya yangu kilainiiii
 
ni wachache sana mkuu wanaokataa labda uwe domo zage madem wamekua rahis sana

Kwa kuwa hayo mapenzi mwanamke hawajifanyi wenyewe basi hata wanaume na sisi tumekuwa warahisi kama sio mahayawani.......

Mwanaume mwenye akili timamu na ufahamu wako unaanzaje kumuomba penzi mwanamke mliekutana tu kwenye siti ya basi....!!?? Huu ni zaidi ya upumbavu......
 
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian naumia maana hoteln pale nimeclere bill.. ila na enjoy sana ila nimejifunza kitu Dem wako au wife akisafiri kwenye hizi bus akibahatika kukaa na mwanaume ni rahis sana kutongozwa
Na mbeya ndio mkoa unaoongoza kwa ngwengwe so jiangalie.
 
Mi nakumbuka majuzi hapa nilisafiri na nikaa na Esther. Niliifurahia sana hiyo safari na kwa kweli ilikuwa fupi mno.

Kwa ndege sijawahi kukaa na mchuchu kwa sababu huwa napanda daraja la kwanza unless labda niwe nimepanda FastJet kwenda mikoano huko.
Wachuchu hawapandi first class!
 
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian naumia maana hoteln pale nimeclere bill.. ila na enjoy sana ila nimejifunza kitu Dem wako au wife akisafiri kwenye hizi bus akibahatika kukaa na mwanaume ni rahis sana kutongozwa
Ni kweli
 
Wanaume wengine bwana. sasa bill gani hapo njian? chips kuku na soda? hicho kisoda na kichps kuku ndio unakuja kulialia hapa?

na nyie wadada angalieni wanaume wanawapa ofa,
ama!!!!
 
Mara nyingi mkifika kituoni kila mtu na hamsini zake.
 
Kama alipiga na socks haina shida. Kuvaa gwanda lazma.

Tukiachilia mbali suala la soksi, ule ujasiri wa kukutana na mtu siku ya kwanza na kupiga kazi unatoka wapi? Nachukulia suala la mapenzi very serious sio kila mtu unaenda nae na sio suala la yeye kutaka, ntanunua kila kitu tutapiga story nta clear bill kama jamaa yangu kwenye safari yake lakini haimaanishi tupige kazi.
 
Tukiachilia mbali suala la soksi, ule ujasiri wa kukutana na mtu siku ya kwanza na kupiga kazi unatoka wapi? Nachukulia suala la mapenzi very serious sio kila mtu unaenda nae na sio suala la yeye kutaka, ntanunua kila kitu tutapiga story nta clear bill kama jamaa yangu kwenye safari yake lakini haimaanishi tupige kazi.
kazi kazi mkuu
 
Back
Top Bottom