Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Hahahah
Hii paragraph imenifanya nicheke kingese sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Ni noma mzeeUngekaa vibaya ungemeza na povu kabisa 😂
😂 Yani Kaka unacheka wakati mimi upara unawaka mto hukuHahahah
Hii paragraph imenifanya nicheke kingese sana...
Tupo wengi mkuu, hili ni tatizo kubwaNikadhani hii kadhia nilipata peke yangu kumbe wadau mko wengi hivi mimi maji yalimiminwa kwenye masikio
Ila si piskali wanavutia!?Na ukizubaa unajikuta na namba umechukua
Na hilo ndilo lengo lao hasaUko sahihi kabisaa,mimi huwa siendi saloon tofauti na niliyozoea sababu hawa wadada bwana wengine wakikufanyia huduma watakutia nyege kabisaa
Kuvutia sio sababu mkuuIla si piskali wanavutia!?
Naskia kuna saloon nyingine ndani kuna vyumba na vitanda kabisaKufanyiwa scrub ni uchafu tu.vitambaa vyenyewe ni vichafu.nimezunguka salooni nyingi tz hazizingatii usafi.wasichana wale ni Malaya tu.maana ukitaka kufanya unakubaliwa bila shida yeyote.
🤣🤣Hicho kipara ungempa akiminye minye ina raha fulani hivi ubongo unasimama kwa muda!
Mkuu nimeshindwa kujizuia kucheka, nisamehe sanaNayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Nilishtuka sana eti anasema samahani, tukaishia hapo nikaondoka zangu tuMkuu nimeshindwa kujizuia kucheka, nisamehe sana
Sasa kakitupa kichwani kwako ukafanyaje mbio au kofi
Pole sana bossNilishtuka sana eti anasema samahani, tukaishia hapo nikaondoka zangu tu
Yani wanakomoa kabisa, afadhali wewe mamamtu anamaliza kila kitunimesoma comment za watu humu minecheka sana. ila kuepuka hayo kipara tafuta mtu akunyoe sio lazima saloon mfano mimi nanyolewa na mke wangu kwahyo huduma kama scrub na masaji ya kichwa napata bureee kabisa tena kwa mahaba tele...,
hao madem nao wanatafuta kipato ila sio ustaarabu kumuumiza mtu kisa hajataka huduma fulani
Yap..Sasa kama mtu hataki ndy wafanye visa
Na ukikubali tu kuoshwa na hela inaongezekaHivi ukiwaambia hutaki scrub kumbe ni ttz 😄
Mimi hata kunawishwa sipendagi sana
Maana kuna siku baada ya kunyoa nikaona ameshika jagi akamimina maji kwenye kopo nikajua ni ya uvuguvugu kumbe ya baridi ile kunimwagia kwenye kichwa bado kidg nizimie kuanzia siku hiyo kunawa ni nyumbani
Hamna kuoshwa huwa ni bure baada ya kunyolewaNa ukikubali tu kuoshwa na hela inaongezeka