Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mnara Ukishasoma inakuaje sasa hapo lo🤨🤔🤔????Ukifanyiwa na hao wahudumu wa kike, lazima mnara usome...
Hamuendi mbinguni walai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnara Ukishasoma inakuaje sasa hapo lo🤨🤔🤔????Ukifanyiwa na hao wahudumu wa kike, lazima mnara usome...
Mtu ambaye hajakupa like kwa hili bandiko lako..ajitafakari. Maana wewe nadhani ndo member humu huna uchoyo wa 👍Hivi ukiwaambia hutaki scrub kumbe ni ttz 😄
Mimi hata kunawishwa sipendagi sana
Maana kuna siku baada ya kunyoa nikaona ameshika jagi akamimina maji kwenye kopo nikajua ni ya uvuguvugu kumbe ya baridi ile kunimwagia kwenye kichwa bado kidg nizimie kuanzia siku hiyo kunawa ni nyumbani
Anakushawishi umle kwa kumpa pesa...Mnara Ukishasoma inakuaje sasa hapo lo🤨🤔🤔????
Hamuendi mbinguni walai
Hatari sana kwa afya love weka mbali na vichecheAnakushawishi umle kwa kumpa pesa...
Kabisa, kuna watu ni dakika tano mbeleSiku watakutana na mtu mbishi watachezea vitasa
HahaMvinyo mpya we ni pumbafuuu kabisa shenziiii 🤣🤣🤣🤣🤣