Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Fally zikipigwa nyimbo nne utaanza kulia barπNikifika hiyo age ntakuwa naenda live band au najijengea bar yangu napiga nyimbo za Fally na Fere gola na baba yao koffi
Ile miziki km huna hela huwezi kuielewa mazee πππ
Hivi kumbe bado dogo dogo eh?Nikifika hiyo age ntakuwa naenda live band au najijengea bar yangu napiga nyimbo za Fally na Fere gola na baba yao koffi
Ile miziki km huna hela huwezi kuielewa mazee πππ
Ili mradi simu ni ya kwako na bundle la kwako hatuwezi kukuamria cha kuandika, lakini ukweli ni kwamba umri wa miaka 35+ hujui lolote kuhusu maisha! Maisha ni uwanja mpana sana! Kuanzia 55+ ndo mtu wa kuongea akasikilizwa!Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Ni Bongo tu ndiko ambapo jamii inalazimisha watu starehe kwa sababu ya umri.Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Kabla hakajakichukua,hakukiona hiki ni kiredio kibovu?Cha ajabu kuna wazee wanakesha bar sababu ya kelele za wake zao.Haya mambo sometimes yaacheni tu.
π€£π€£π€£Akwende taratibu tu aiseeTena ni useeen** sio ukuda tu
Maisha ni muziki kila mtu anacheza kivyake!Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Unahisi km anakusuta π€£π€£π€£Fally zikipigwa nyimbo nne utaanza kulia barπ
πππ chino wangu, mchuchu uko poa??Hivi kumbe bado dogo dogo eh?
Unazidi kumkosha chino tu haha!
Bado hujakua ww........Kabla hakajakichukua,hakukiona hiki ni kiredio kibovu?
Niko poa sana mchuchu!!πππ chino wangu, mchuchu uko poa??
Kweli, maisha yana mengiCha ajabu kuna wazee wanakesha bar sababu ya kelele za wake zao.Haya mambo sometimes yaacheni tu.
Mada hii iwe pinned pale juu ili iwe mwongozo kwa wazee wa hovyo!Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Kijana, kheri ubadilike sasa kuliko kusubiri kufikaπ€£. . . . Ni kubaya sanaaaa.!Sawa ngoja nifike nijionee