Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Kweli, maisha yana mengi
Kuna kipindi nilikiwa na piga tempo na wazee fulani, ndipo nilijua vitu vingi sana. Yaani mpaka unashangaa mzee mzima anakwambia anaccount ya siri mke wala watoto wake hawajui, yaani acheni tuu hivi vitu,kuna wengine hela zao wameweka UTT,unajua kabusa huko home hakufai.

Kuna wazee nyumbani wanaingia saa sita usiku kutoka wanatoka saa kumi na mbili.Hapo ndipo unajiuliza analala masaa mangapi.Kuna wazee sehemu ya kupata faraja ni bar na marafiki, kuna wale wengine ambao bado wana hofu na Mungu wao sehemu yao inayo wapa faraja ofisini, ofisini anaingia saa moja kutoka saa nne usiku.
 
Ukiwa na Roho mtakatifu ndani yako hakuna umri wakufanya starehe Dunia hii wewe ni mavumbi tu tafuta kuurithi uzima wa milele kila dhambi unayoifanya bila kutubu inanukuliwa siku ya hukumu utastaajabu sana

Ila ukiwa na Roho Mtakatifu ndani yako Mungu anakukumbusha dhambi zako ili utubu hii ndio tofauti ya watu waliokoka na watu wanaoendelea kuyapenda mambo ya kidunia
Aliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa mada ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambao hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?
 
Aliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa madam ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambayo hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?
Usije zani ni rahisi kuingia ufalme wa mbinguni Sina hakika kama una soma biblia
 
Aliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa madam ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambayo hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?
Nashangaaga mtu akiniambia niache starehe nabaki kujiuliza kwani ni dhambi 😃
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Mkuu huna hela tu, wazee wa 60+ wapo na yatchs baharini humo wanajilia starehe zote bila shida, Mpiji Magohe unalima huko?
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Mi 45yrs ila uniambii kitu kwa vitoto, na mazoezi nnayofanya nipo kama wa miaka 26 perfoms,
Gari bovu inavutwa na gari nzima
 
NI umri sahihi kuanza kujitambua 35, ukifika 40 ndo uanze kufanya machaguo sahihi hasa ya starehe, mpira, wanawake nk...
Walau kwa umri huo uwe umeanza kujipata, otherwise ni umri wa mawazo na msongo mkubwa kama hata mtoto hauna na ramani hazisomani kabisa!! Unaweza ona huna faida hapa duniani, maana hata ajira rasmi siku hizi zina cutting point za umri!!
 
Back
Top Bottom