Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Ushafika bro ila bado kidogo 😂😂
Nifike mara ngapi?Na vile naonekana kijana hakuna hata makunyanzi usoni nikidanganya nina 26-29 utaamini kabisa. . .!
Nitafutie kakiwanja niporomoshe kilabu nilewe sasa.
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Yaani 35+ ushindwe kumridhisha basi utakuwa kagonjwa!
 
Ni Bongo tu ndiko ambapo jamii inalazimisha watu starehe kwa sababu ya umri.
Hii ni kweli, njoo Zanzibar uone vibabu vya Kizungu vimepiga pensi plus tishirt, Raba kali , kofia plus cheni.Ulizia muda anaoingia! Saa saba usiku.

Kuna siku natoka ananiambia mbona unaondoka mapema! Saa sita usiku hiyo! Mbona hujui kufanya starehe?? Mzee yupo 70s!
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Hahaha! Ila ni kweli eti! Wazee inatakiwa viglocery vya mtaani ambavyo havina mkusanyiko wa vijana wengi wengi!
 
Back
Top Bottom