Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini?ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke
Nifike mara ngapi?Na vile naonekana kijana hakuna hata makunyanzi usoni nikidanganya nina 26-29 utaamini kabisa. . .!Ushafika bro ila bado kidogo 😂😂
Uige mfano .Mm nitakuwa mzee niliegoma kuzeeka
Yaani 35+ ushindwe kumridhisha basi utakuwa kagonjwa!Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Mfano upi kwa wazee Hawa wa jfUige mfano .
Vijana 35 + tupo ,unaweza kutuchukulia kama mfano.Mfano upi kwa wazee Hawa wa jf
Inategemea na kipato wengine wanaenda kutulia kiutu uzima na kishefa level 8 Hyatt RegencyWazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Ukifika Utajua tu ni muda tuuu.utashangaa nyimbo wanazofurahia ni za hovyoo kulikoSawa ngoja nifike nijionee
Mbona mi sina hela na nailewa sana.Nikifika hiyo age ntakuwa naenda live band au najijengea bar yangu napiga nyimbo za Fally na Fere gola na baba yao koffi
Ile miziki km huna hela huwezi kuielewa mazee 😂😂😂
Sio kweli bro muongo 😂Mbona mi sina hela na nailewa sana.
Hii ni kweli, njoo Zanzibar uone vibabu vya Kizungu vimepiga pensi plus tishirt, Raba kali , kofia plus cheni.Ulizia muda anaoingia! Saa saba usiku.Ni Bongo tu ndiko ambapo jamii inalazimisha watu starehe kwa sababu ya umri.
Hahaha! Ila ni kweli eti! Wazee inatakiwa viglocery vya mtaani ambavyo havina mkusanyiko wa vijana wengi wengi!Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
KabisaHuo ndo ukweli
Ni kweli kabisa lakini wakongwe tunakuambia maliza ujana kwenye age ya 20-30 basi ukivuka hapo anza kutengeneza maishaSahihi kabisa,kila Jambo na wakati wake....lakini kumpangia mtu namna ya kuishi huo ni ukuda Kama ukuda mwingine