Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Ukishafika umri wa 35+ kuna sehemu za starehe achana nazo

Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Na uzee wangu huu bana imenikuta juzi hapa na katoto flan ka-nurse
 
Sio umri wa kumfiksha mwanamke hii nimeipenda
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Tayari huko..... Kama yaliyowakuta Azam Jana na mauno ya Fei 😁😁😁
 
Nikifika hiyo age ntakuwa naenda live band au najijengea bar yangu napiga nyimbo za Fally na Fere gola na baba yao koffi
Ile miziki km huna hela huwezi kuielewa mazee 😂😂😂
😂😂
umenichekesha, nasoma hii comment huku naskiza zangu Maria PM ya Fally..!!
 
😂😂
umenichekesha, nasoma hii comment huku naskiza zangu Maria PM ya Fally..!!
😂😂
Ukimaliza hiyo weka Mayday huku una ka glass kako ka wine pembeni ahh kananogaje.!

Mi napenda live band mwenzio, hapa napambana nizae katoto kamoja ili nisipate kero ya kuulizwa unazaa lini?? Najua ndoa sina mpango nayo 🤣🤣🤣
 
😂😂
Ukimaliza hiyo weka Mayday huku una ka glass kako ka wine pembeni ahh kananogaje.!

Mi napenda live band mwenzio, hapa napambana nizae katoto kamoja ili nisipate kero ya kuulizwa unazaa lini?? Najua ndoa sina mpango nayo 🤣🤣🤣
Yaaani Mayday siku ya kwanza tu naiskia niliiweka repeat mpaka ikajuta,
Hebu weka zako science fiction hapo u enjoy jioni yako..!!

kwenye jamii yetu usipoolewa una kasoro,

W.O.L.O, hivyo enjoy to the fullest..!!
 
Yaaani Mayday siku ya kwanza tu naiskia niliiweka repeat mpaka ikajuta,
Hebu weka zako science fiction hapo u enjoy jioni yako..!!

kwenye jamii yetu usipoolewa una kasoro,

W.O.L.O, hivyo enjoy to the fullest..!!
Mi waseme had wachoke siwezi kuolewa ili mradi nimeolewa nifurahishe walimwengu.!!

Fally nyimbo zake zote ni hit song, nikijisikia kuruka naweka Nzoto
 
Mi waseme had wachoke siwezi kuolewa ili mradi nimeolewa nifurahishe walimwengu.!!

Fally nyimbo zake zote ni hit song, nikijisikia kuruka naweka Nzoto
😂😂
Hivi wifi siku zote unanichekea hapa kumbe wewe ni Kataa Ndoa Pro Max..!??

Hebu ngoja nikaruke na hiyo nzoto kwanza.. 🎵 🎶
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Mzee umefanana na Evanda Holyfield
 
😂😂
Ukimaliza hiyo weka Mayday huku una ka glass kako ka wine pembeni ahh kananogaje.!

Mi napenda live band mwenzio, hapa napambana nizae katoto kamoja ili nisipate kero ya kuulizwa unazaa lini?? Najua ndoa sina mpango nayo 🤣🤣🤣
Yaaani Mayday siku ya kwanza tu naiskia niliiweka repeat mpaka ikajuta,
Hebu weka zako science fiction hapo u enjoy jioni yako..!!

kwenye jamii yetu usipoolewa una kasoro,

W.O.L.O, hivyo enjoy to the fullest..!!
Mi waseme had wachoke siwezi kuolewa ili mradi nimeolewa nifurahishe walimwengu.!!

Fally nyimbo zake zote ni hit song, nikijisikia kuruka naweka Nzoto
😂😂
Hivi wifi siku zote unanichekea hapa kumbe wewe ni Kataa Ndoa Pro Max..!??

Hebu ngoja nikaruke na hiyo nzoto kwanza.. 🎵 🎶
Oleweni nyie acheni kuwabania vijana.
 
Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.

Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).

Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.

Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.

ASANTENI
Ukifikisha umri huo na bado huna hela je ufanyeje?

Acha kupangua watu namna ya kuisi.
 
Ili mradi simu ni ya kwako na bundle la kwako hatuwezi kukuamria cha kuandika, lakini ukweli ni kwamba umri wa miaka 35+ hujui lolote kuhusu maisha! Maisha ni uwanja mpana sana! Kuanzia 55+ ndo mtu wa kuongea akasikilizwa!
Ukweli huko hapa, 35 bado mtu anaangaika na kodi ya mwenye nyumba.
 
Mi kanisani au kwenye mkusanyiko wa kutofautisha umri nikienda kwa wazee narudishwa kwa vijana nikija kwa vijana naambiwa ni wa kule kwa wazee hata sielewi 46 ukiongeza na mwili ulivyo nachukia sana kuitwa dogo ila wanaonijua wananiheshim.

Nilimwambia dem 1 huyu ni mdogo wetu wa mwisho akajaa kumbe mwanangu, ni wapi nakosea au nisivae jeans na T-shirt?
Japo sina suruali ya kitambaa wala kadet.
 
Back
Top Bottom