livewise1
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 837
- 967
- Thread starter
- #21
Atajuaje kama hiyo dawa ni kali kuzidi wao mkuu?! I mean je kama watafanikiwa wao?! Wakamuwahi jamaa maana pia hilo suala linaendana na imani yake jamaa kama haikubali manake itakuwa ishuWatafutie dawa Kali kuizidi yao afu wewe ndo uwafanye makondoo sasa