Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Si alishafungiwa?Halafu atapost Kuwa Serikali ya Magufuli inaminya uhuru kwa kufungia mawakili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si alishafungiwa?Halafu atapost Kuwa Serikali ya Magufuli inaminya uhuru kwa kufungia mawakili
Mtu anaposimamishwa si kwamba ndo hukumu ilishatoka bali huo ni utaratibu wa kufikia maamuzi ama ya kutimuliwa au kurudishwa. Sasa huyo shangazi yenu kinachomgharimu ni kule kujiona ana akili sana kuliko Judiciary yote.Sasa mtu alishapewa adhabu halafu leo mnamuita akatoe ushahidi wakati mlishatoa hukumu, hiyo ni akili kweli?!
Hapo mimi nakushangaa wewe.
Pascal naona umeanza kuwa kama Aston Villa, unashuka daraja huku unajiona ukidhani ni utani!
Ameamua kuwa level ya akina Kawe Alumni,Jinga lao,Etwege/Elitwege,magonjwa mtambuka.Pascal naona umeanza kuwa kama Aston Villa, unashuka daraja huku unajiona ukidhani ni utani!
Kuna watu humu tunakuelewa sana pasco,pia hua nasikitika kuona wana jf wengi kushindwa kuelewa how things are going wanajudge vitu kwa mihemko na ulengwa flani bila kua neutral..napenda ulivo real na neutral and your smart sense of humor and sarcasm..Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Usidandie jambo usilolijua kabla ya kutafakari maana yake.Wewe uliyepanda daraja upo nafasi ya ngapi?
Muwe mnaheshim mawazo ya wengine,
Pascal anayo haki ya kupenda upande ambao sio unaoupenda wewe.
Sijawahi kuona mtu mwenye pesa nyingi anaitwa masikini, na masikini akiitwa tajili,
Huko mnakoshabikia ndo kunashuka daraja maana watu wanatoka na kusajiliwa timu zizingine.
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Mbona umecomment kwenye thread inayomuhusu shangazi Kama haikuathiri wewe mkulima, ungeipotezea uchawi mbayaKuacha kwake UWAKILI kunaathiri nini Maisha yake au Maisha yangu mkulima?
#Aendelee kutafuna koni.
#Amsalimu KIGWA.
Heshima kwako Mkuu naomba Radhi kwa yote naic nmeanza kuelewa maandiko yko...Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P