Ukishangaa ya gazeti la Tanzania Daima utastaajabu ya Fatma Karume

Ukishangaa ya gazeti la Tanzania Daima utastaajabu ya Fatma Karume

Huo ni uzandiki ulionao, huna point yoyote kwenye uzi wako.
Nisawa na mpishi wa mboga, kachanganya samaki, bamia, pipi, maandazi, sukari na chumvi.
Tafuta kazi ufanye humu hamukufai
 
Sasa mtu alishapewa adhabu halafu leo mnamuita akatoe ushahidi wakati mlishatoa hukumu, hiyo ni akili kweli?!

Hapo mimi nakushangaa wewe.
Mtu anaposimamishwa si kwamba ndo hukumu ilishatoka bali huo ni utaratibu wa kufikia maamuzi ama ya kutimuliwa au kurudishwa. Sasa huyo shangazi yenu kinachomgharimu ni kule kujiona ana akili sana kuliko Judiciary yote.
 
Pascal naona umeanza kuwa kama Aston Villa, unashuka daraja huku unajiona ukidhani ni utani!

Wewe uliyepanda daraja upo nafasi ya ngapi?
Muwe mnaheshim mawazo ya wengine,
Pascal anayo haki ya kupenda upande ambao sio unaoupenda wewe.
Sijawahi kuona mtu mwenye pesa nyingi anaitwa masikini, na masikini akiitwa tajili,

Huko mnakoshabikia ndo kunashuka daraja maana watu wanatoka na kusajiliwa timu zizingine.
 
Punguza hasira mkuu kwani lazima awe wakili ameamua kuacha si basi
 
Wewe huitaji tume huru? Maana ndicho Askofu Bagonza alichosema na gazeti likaandika. Siasa za Fatma Karume alikuwa anazifanyia kwenye platfoam ipi? Sisi tunavyojua Shangazi ni mkosoaji asiye pepesa macho. Tatizo mnataka watanzania wote tuwe Kama kamanda Shana,Lusinde,Bashite,Msukuma,Kangi Lugola au Kama Pole pole. Hiii nchi ni zaidi ya Yesu wa CCM Kuna vitukuu vinakuja kuishi hapa hapa Tanzania,Sasa kila kiongozi akiamka anafanya analotaka itakuwaje? Miongoni mwa mambo wanayohoji wakosoaji nije sheria ya manunuzi ilizingatia kwenye ununuzi wa hizo ndege? Wabunge Kama wawakilishi wetu walipitisha budget? Yaani wenye kampuni wanaenda Ikulu kuongea na rais halafu rais anamwambia mtoto wa dada yake aliyeko hazina atoe pesa mchakato mzima wa hela ya watanzania unahusisha watu wawili tu mtu na mpwa wake. Au nikuulize jamaa yangu uwanja wa chato ume jengwa kwa budget ipi? Mkandarasi alipatikana ki kisheria kwa kushindanishwa na kampuni ipi? Tukiruhusu haya mambo yanaacha precedent mbaya,kiongozi ajaye hawezi kuona tabu kufanya madudu zaidi ya haya. Kwa kumalizia tu nikuulize swali mtoa mada,Mnyeti alitoa wapi pesa za kuwahonga wale madiwani wa Arumeru? Au alitoa kwenye mshahara wake? CAG prof Assad alisema til 1.5 haionekani ilipo unajua wazi kilichompata.
 
Acheni ungese nyie vijana wa chama msiojua kutumia akili na maarifa kutafuta riziki zaidi ya kulamba lamba miguu na kusubiri kuwapendeza miungu watu wawarushie makombo. Muanze kufikiri kwa kutumia vichwa na muache UNAFIKI.
 
binafsi sijaona kosa halisi la shangazi zaidi ya makosa matatu feki

1. moja ni kuwaamsha nyumbu wabongo kuhusu sheria ya uchaguzi kuruhusu magoli ya mkono kupitia wateule wa Rais wale wakurugenzi! maana yake sirikali inapenda watu waendelee kujazana barabarani kudai haki ili wapigwe mabuti na virungu kumbe dawa ni kukaa tu mezani na laptop na kusoma sheria ili kuona vipengele gani havifai katika kuleta uchaguzi huru na wa haki na kudai marekebisho mahakamani! sirikali kumbe inapenda kuongoza manyumbu!
2. shangazi kumuumbua kwa ushahidi wa kisomi Jaji mkuu kwa kutoelewa kwake katiba na dhana ya separation of power , government checks and balance!
3. kukiaibisha na kukiumbua chama kisheria kila mara na kumpinga Mkulu hadharani na bahati yake sana jina lake linambeba bila hivyo watu wasiojulikana tayari wangemhusu na ikasemwa alikunywa konyagi! ukisoma historia za dunia na kuangalia movies za old monarchies kama Tudor , wapingaji sera za mfalme hadharani wote walipoteza vichwa hii inaitwa treason!! bongo wanamstahi kwa heshma ya babiye!!

shangazi ni next level hawezi kufit kuishi nasi watu wanafki , wapambe na waongo wa bongo! siasa zetu za majitaka hawezi ni mzungu mno!

wazee watamuondolea leseni kibabe ila kitu kizuri ndani ya roho zao wote wanajua she is right and genius!
 
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Kuna watu humu tunakuelewa sana pasco,pia hua nasikitika kuona wana jf wengi kushindwa kuelewa how things are going wanajudge vitu kwa mihemko na ulengwa flani bila kua neutral..napenda ulivo real na neutral and your smart sense of humor and sarcasm..
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
 
Wewe uliyepanda daraja upo nafasi ya ngapi?
Muwe mnaheshim mawazo ya wengine,
Pascal anayo haki ya kupenda upande ambao sio unaoupenda wewe.
Sijawahi kuona mtu mwenye pesa nyingi anaitwa masikini, na masikini akiitwa tajili,

Huko mnakoshabikia ndo kunashuka daraja maana watu wanatoka na kusajiliwa timu zizingine.
Usidandie jambo usilolijua kabla ya kutafakari maana yake.
Suala sio kutoheshimu mawazo kama unavyofikiri wewe!
 
Kuacha kwake UWAKILI kunaathiri nini Maisha yake au Maisha yangu mkulima?

#Aendelee kutafuna koni.

#Amsalimu KIGWA.
 
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P



Bravo bro P
 
Kuacha kwake UWAKILI kunaathiri nini Maisha yake au Maisha yangu mkulima?

#Aendelee kutafuna koni.

#Amsalimu KIGWA.
Mbona umecomment kwenye thread inayomuhusu shangazi Kama haikuathiri wewe mkulima, ungeipotezea uchawi mbaya
 
Wamejituma kuilinda katiba, toka lissu na Fatma karume wapate pigo, viongozi wameongeza kasi ya kuvunja katiba na hakuna wa kuhoji, kila mtu anaogopa kufa.

Nataka ulete ushahidi huo wa kisiasa
 
Why and how?!.
Mimi najiona as I grow old, nabadilika na kuwa Mzalendo zaidi, wiser and see things in much broader sense. It's very unfortunately sio wengi humu sees what I see, hivyo ni kawaida.
Watu walimziea Pasco wa jf, kijana mjenga hoja shupavu asiyeogopa kitu wala mtu, lakini Paskali ni Mzee, makini, mwenye busara and walks very very careful kwenye njia ya reli!.
P
Heshima kwako Mkuu naomba Radhi kwa yote naic nmeanza kuelewa maandiko yko...
 
Back
Top Bottom