Ukishangaa ya gazeti la Tanzania Daima utastaajabu ya Fatma Karume

Eli huyuhuyu wa kwenye Bible Samweli,namwona na Kaka Yetu huyu Manjaa anaelekea kibra kabisa siku hizi.Eti ndo anazeeka vizuri!Duh!

Any way, bible zipo nyingi! Mwanzo hadi ufunuo cjapata soma habari ya mtu aitwae eli alivunjika shingo.
 
Ivi na ww watoto wakiulizwa baba yenu yuko wapi wanasema ameenda kazin kumbe upo unaandika upuuz
 
Kuacha kwake UWAKILI kunaathiri nini Maisha yake au Maisha yangu mkulima?

#Aendelee kutafuna koni.

#Amsalimu KIGWA.
shangazi kaibua mijadala mikali yenye tija kwa nchi hakika kujiengua kwake ni janga la kitaifa if you think in the bigger picture! akistaafu miungu watu watapumua!! mf mada ya kurekebisha sheria ya uchaguzi na kuwatupilia mbali wakurugenzi kusimamia uchaguzi!!

kama shangazi hana madhara kwenye maslahi ya mafisadi wa nchi yetu basi wasingechoma ofisi yake moto!
 
Siasa inalipa sana ukisha jitoa akili kichwani
 
Hakuna atakayebisha uwezo na umakini wa pascal hum jf. Nyuzi yyte humu jf akii like p.mayalla lazima peoples power wajae! Nawanajaa kwa matusi na kubeza bila hoja yyte.

Tembea kwa tahadhari tena tahadhari kubwa ukitembea katika njia ya reli.
 
... Sure...ila Pasco mbona Kuna vijana "wazalendo" wanaojenga hoja na huo ujana wao kabla ya kugrow old Kama wewe,kipindi Cha nyuma vijana hao walikuwa wanakupinga na pengine tunakupinga ktka baadhi ya Mambo,Sasa hebu nifafanulie credibility ya umri imekaaje hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…