Mkichagua wapinzani hamtapata maendeleo.Msiwabomolee nyumba walinipigia kura ni nani alisema hayo, je huko sio kuligawa Taifa?. Wakati wenu umekwisha mwacheni Rais afanyekazi ya kuliunganisha Taifa. Kazi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkichagua wapinzani hamtapata maendeleo.Msiwabomolee nyumba walinipigia kura ni nani alisema hayo, je huko sio kuligawa Taifa?. Wakati wenu umekwisha mwacheni Rais afanyekazi ya kuliunganisha Taifa. Kazi iendelee.
Hakuna mtanzania aliyekasirika kwa kuzodolewa jiwe. Labda makada waliokuwa wanafaidika na udikiteta wake.Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
Mimi nasema Jiwe alipendwa sana na watu masikini na wasio jielewa, so usitake kusema Watz wengi hawajielewi japo kumtukana mtu siungi mkonoMtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
Ugaidi ni ishu kubwa sana, hata akimfutia mashitaka bado ataonekana kumbe alikuwa mzushi, alikosea sana kujiingiza kwenye huo ujingaAisee Samia kwa hii kesi Ni doa kubwa ata akimfutia mashtaka bado ni doa kubwa
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.
Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.
1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang
2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.
3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.
4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.
Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Kati ya watu wanaochukiwa sana (na watu wenye akili lakini) ni JiweMi sidhani kama anawashauri wazuri wa siasa..JPM kwa kiasi kikubwa ni kiongozi amegusa maisha ya watu wengi ingawa alikuwa ni babe, kisiasa kuamua kupambana nae amepoteza wafuasi wengi sana sababu ukweli ni kwamba JK watu hawamkubali. Kipimo kizuri ni chanjo ya corona..ajiulize kwann watu hawachanji kama wanamsikiliza, so yeye suala la magufulia angetumia busara sana sababu linaweza kuwamaliza kisiasa ikitokea kuna kundi likajitenga esp watu wanaotoka kanda ya ziwa na wakawa na ushawishi, uchaguzi utakuwa mbaya sana. Ngoja tuone..tunaokaa mtaani tunajua hisia za watu. Watu hawataki tena viongozi legelege.
Ataenda Nigeria atafute mvuto ucjali kwan Magu si alitafuta!?Pia hana mvuto wa kisiasa hata kidogo
Yapo mazuri machache alifanya kwa gharama za watu wengiJiwe alikuwa nyoko. Wacha tumseme akiwa marehemu maana hakupenda kusemwa akiwa hai
ukweli mtupu. Ukiachana na wale wasomi wachumia tumbo wengine woote ni wale maskini wa njaa na akili.Mimi nasema Jiwe alipendwa sana na watu masikini na wasio jielewa, so usitake kusema Watz wengi hawajielewi japo kumtukana mtu siungi mkono
Ukiona mtu anamuunga mkono Jiwe, mwangalie kwa makini kuna kitu ambacho akiko sawa utakiona, kama siyo masikini basi akili yake inakuwa na walakiniukweli mtupu. Ukiachana na wale wasomi wachumia tumbo wengine woote ni wale maskini wa njaa na akili.
Anatudharau sana sisi wanaumeRais kila siku unaongelea maumbile tu
Sio vyote umeandika vinanigusa mkuu ila ,nakubali kabisa wakati ameingia madarakani tulimkubali tokana na kauli zake za kwanza, binafsi mbele yaMungu iam chadema, ila nilimpenda Sana by the time tokana na kauli zake,Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.
Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.
1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang
2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.
3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.
4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.
Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Huwezi kutumia watu walewale kutatua tatizo mlilolitengeneza.