Ukishazoea kushi na mwanamke ni ngumu sana kumudu maisha ya Ubachela

Ukishazoea kushi na mwanamke ni ngumu sana kumudu maisha ya Ubachela

Labda tunatofautiana lakini maisha ya ubachela sio magumu kihivyo labda uwe huna pakupata riziki, kama unapo unafeli wapi mdogo wangu, haya maisha muhimu mkono uwende kinywani tu, mengine ni vitu vya ziada, ukiendekeza sana mapenzi huwezi kutusua trust me
 
Ni kweli ndugu yangu.
Nikikumbuka tunavyochezaga karata na kuwa na evening walk basi najihisi mkiwa napo nikasafiri tu kidogo lakini kwanzia saa kumi na mbili jion unyonge unajisogeza karibu sijui nikipigwa kibuti itakuwaje jamani.

Naombeni mnifungie 3dry mlima sayuni hizi sio akili zangu ndugu wananchi wa tizediei
Limbwata haijawahi kumwacha mtu salama (alisikika muuza majeneza mmoja akiwa amekaa juu ya majeneza yake ambayo yamekosa wateja kwa muda mrefu)
 
Limbwata haijawahi kumwacha mtu salama (alisikika muuza majeneza mmoja akiwa amekaa juu ya majeneza yake ambayo yamekosa wateja kwa muda mrefu)
Upande wa pili alisikika muuza mkaa na viberiti akiinadi biashara yake
 
Back
Top Bottom