πππmuonehaya nikutakie sikukuu njema ya majivu..π
Kwani mtaani kwenu hawauzi uterezi? Au huna hela kabisa?Natumia nguvu nyingi sana nisimoigie yule mwanamke ila sijui kama ntafanikiwa, Upweke ni jambo gumu sana
π³huyo mwanamke wa kumweka hivyo muda wote ulimtoa wapi Mkuu?
Limbwata haijawahi kumwacha mtu salama (alisikika muuza majeneza mmoja akiwa amekaa juu ya majeneza yake ambayo yamekosa wateja kwa muda mrefu)Ni kweli ndugu yangu.
Nikikumbuka tunavyochezaga karata na kuwa na evening walk basi najihisi mkiwa napo nikasafiri tu kidogo lakini kwanzia saa kumi na mbili jion unyonge unajisogeza karibu sijui nikipigwa kibuti itakuwaje jamani.
Naombeni mnifungie 3dry mlima sayuni hizi sio akili zangu ndugu wananchi wa tizediei
Upande wa pili alisikika muuza mkaa na viberiti akiinadi biashara yakeLimbwata haijawahi kumwacha mtu salama (alisikika muuza majeneza mmoja akiwa amekaa juu ya majeneza yake ambayo yamekosa wateja kwa muda mrefu)