[/COLOR][/SIZE]
ahhh leo bwana lunch yangu ni UGALI WA MUHOGO na nyama choma,spinach kdg na kachumbari maharage yakipatikana si mbaya sana
au nikikosa ni mwendo wa makange pale kati mwendo kamili!!
rr ule wali njegere ..sawa?
nyamayao bana........hicho hakipo labda mmoja awe parasite na mwingine awe ***** hapo yataenda ila mkioana tu basi yanakwisha....
MAPENZI YANA RUN DUNIA
Partner nimeletwa kwenu kufikisha ujumbe na kumwaga taaluma!!Lolzz...just kidding!
Haya wote yanatuhusu...hata sie SINGLE LADIES tunaona wanaume wenye magubu wametuzunguka mpaka tunakosa raha!Siku nikijikuta niko ndani yaliyomo sijui ntayaweza au yatanishinda!!
wengine tulijishtukia tumeingia kwenye game tukijua zile babie,sweet,darlie zinaendelea milele, haaa kushtuka kumbe nilikuwa naota....hahaah but wacha yawepo yatupunguze viherehere.
aisee......:A S 13::couch2:........shikamana!
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyobehave kwenye mahusiano.wengine utakuta wanaendekeza kiburi...wengine kudeka...wengine kulalamika...n.k
vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana inaboa/chosha...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!kila kitu fanya kwa kiasi!wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!
yaani nadhani kungekuwa hakuna kuachana aisee, kuna wakati yanaboa mpaka bac yaani huyatamani kabisa kabisa, mie nikiborekaga huwa natafuta safari ya lazima, ndio kama nilivyopotea humu cku mbili tatu hizi....lol
True that....
Ila mwenyewe naona hunitaki huko kiviiiile maana ile lunch sijui dinner kila siku wanipiga kalenda!
Ugali wa mihogo sijala siku nyingi....naja bibie!
yaani ....inaboa sana...ivi mtu anaish kwake na wewe kwako inaboa ivi sasa yakija mandoa yao sjui inakuaje jaman....
hahaha....halafu hayanaga bahati haya, kuna aliyebahatika kuwa kwenye mapenzi motomoto mwanzo mwisho? mwaka unapita mpo kama paradise vile?
Partner nimeletwa kwenu kufikisha ujumbe na kumwaga taaluma!!Lolzz...just kidding!
Haya wote yanatuhusu...hata sie SINGLE LADIES tunaona wanaume wenye magubu wametuzunguka mpaka tunakosa raha!Siku nikijikuta niko ndani yaliyomo sijui ntayaweza au yatanishinda!!
Lizzy unaniangusha.....hashindwi mtu hapa, unakomaa na game mpaka kieleweke labda ukute ni libomu lakini hawa hawa wa wa vimakosa /vituko vya hapa na pale ni wa kuwapotezea na kusonga na lyfe tena nyie ndio wazuri sasa coz mnajua huko mbele sio kwa kuingia moyoni mwa mtu na kamdambili unaziacha nje unaingia miguu peku uweze kupambana vizuri.
yaani ....inaboa sana...ivi mtu anaish kwake na wewe kwako inaboa ivi sasa yakija mandoa yao sjui inakuaje jaman....
Lizzy unaniangusha.....hashindwi mtu hapa, unakomaa na game mpaka kieleweke labda ukute ni libomu lakini hawa hawa wa wa vimakosa /vituko vya hapa na pale ni wa kuwapotezea na kusonga na lyfe tena nyie ndio wazuri sasa coz mnajua huko mbele sio kwa kuingia moyoni mwa mtu na kamdambili unaziacha nje unaingia miguu peku uweze kupambana vizuri.