ya ndani ya watu huyajui na wala hutakaa uyajue, ni kama mie nikisemaga nilishafumania but ukitukuta sasa hivi utaitamani, ni kwamba imetokea hatuwezi kuonyesha mbele za watu kinachoendelea, ukija kwangu dk hii na tulikuwa tunachengiana ni muda huo huo tunabadilika na amani tele, ukiondoka tunaendelea kutafuta muafaka hapo tulikuwa tunajiana juu ki kweli kweli...wacha kabisa Rose....unauliza kinachogomba n nn? chukulia sasa hivi n nn kinagomba na boyfrnd wako ili hali kila mtu yupo kwake sasa mtakapoishi pa1? ni vijimambo tu kama ambavyo anavyogombania na byfnd lakini but kwa ndoa zinaongezeka kidogo kwa namna moja au nyingine, mume kupiga nje wanapiga tu, so unataka kuniambia upo tayari kuwa na mume unaejua ana cheat na kila mdada but upo tu ili mradi anatoa basic needs? Rose ucnitanie, arudi saa 8 za ucku katokea wapi jamani?....unafikiria basic needs na maradhi je hao watoto mtaachia nani?...mie nilivyomkuta cku zile kama sio kutimua nadhani sasa hivi ningekuwa cngle mother, afanye kwa kutumia akili zake aisee, nani anataka akikohoa anaogopa kwenda hosp akihofia magonjwa ya ajabu ajabu?