Ukishikwa......

Ukishikwa......

We nyamayao..... mi yananibore sana hasahasa kinachoudhi unafuatilia demu for 2yrs anakubali 1 second, halafu mnakaa nae kwenye malovedavi kwa 6months mnapigana kibuti inasumbua sana akili yangu.


NAKUPENDA ILA MUDA BADO

sasa hapo ni kwamba mmeshtukizia kwamba hamuivi chungu kimoja au? au unakosea kwenye uchaguzi wako?
 
Unaniangusha partner....and i‘m falling really hard!


Mpenzi really???? Dah! Ngoja nijipange upya dear, nanunua leggings za chuma miguu iwe still, niache tetemeka...lol
 
Popote mpenzi....ilimradi nikwachie bili!


teh teh teh ..usijali mpz we kuja mi ntaclear afu badaye nampelekea risiti MR GUBU...kulipa atalipa lakin badaye kusimangwa km kawa..mwone vile mtu gan wewe unakula ridit kwangu...nilikukuta kimbaumbau wewe nimekulisha weeeee sasa unanenepa...afu ananuna kdg mi nambembeleza ....ahh araha kweli kweli...!!!!!!

yaan wanaume wa skuiz wna tabu kwakwlei manake wanawake wamaemkaaaaa sana ukifanya kituko ichi mwenzio ashakisikia kwa nyamayao long tyme na anakuchek tu akufanye ivi...ukifanya utumbo huu mwenzio long tyme mwanajamii one ashamwambia so anarefer tu ajue akupe hukumu gan...sio km zaman mdada unaingia panapo ndoa ukiwa mweeeeeeeeupe kichwani vimbwanga vyote unafanya kujifunzi a apo ....


jf imenifunza meng ..yaan mtu akiniboa nakuja kusach post jf inayohusiana ili nione watu walishauri nini.....rrrahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!

njo ya twn basi...
 
wengine tulijishtukia tumeingia kwenye game tukijua zile babie,sweet,darlie zinaendelea milele, haaa kushtuka kumbe nilikuwa naota....hahaah but wacha yawepo yatupunguze viherehere.

Nyamayao hubakishii mtu eeh, kweli acha yawepo mana sometimes yana raha yake..!!mtu unakuta kutendwa kote bado mapenzini upo, nobody wants to be alone!!
 
hahahahahah Nyamayao unanifurahisha? akili robo kijiko ndio nini tena? kwa hiyo sasahivi uko juu mbaya.

IF YOU DO ME ....I DO YOU!!!

sasa hivi anajua kwamba yeye ndio anatakiwa anipiganie mie sio mie kumpigania tena coz ana hakika kwamba kwa sasa nipo tayari kwa lolote, heshima yake imepanda kiwango, nilimpigania sana jamani jamani khaaa.
 
Kuna rafiki yangu mmoja alishawahi kunipa definition ya mapenzi akasema "Mapenzi ni upumbavu, uchafu,ujinga, raha,karaha na vingine viiiingi ukivichanganya pamoja"............................The Finest umesema "Love Dont make No sense"!!

Lizzy acha tu yaani ni kizungumkuti.
 
Jana yamekukuta nini? maana ulivyopresent kama vile wajisemea mwenyewe
 
Hiyo ndio nature ya mapenzi, ndio challenges za kwenye haya mambo mazuri. Kitu kizuri lazima utumie kila ujuzi kukitunza na kitu kibaya inatakiwa kukifanya kiwe kizuri. Tumeumbwa tukiwa tofauti ili kuipendezesha dunia na kuifanya dunia iwe active, ndio maana wengine wameumbwa wakubembelezwa na wengine kubembeleza, wengine wa tabia hii na wengine wa tabia ile, wengine watamu na wengine wachachu, lol!
 
Mpenzi really???? Dah! Ngoja nijipange upya dear, nanunua leggings za chuma miguu iwe still, niache tetemeka...lol

Ikibidi naenda kukukopea kwa mwarabu...yani hivyo ndo kwa kiasi gani nahitaji usimame imara!
 
teh teh teh ..usijali mpz we kuja mi ntaclear afu badaye nampelekea risiti MR GUBU...kulipa atalipa lakin badaye kusimangwa km kawa..mwone vile mtu gan wewe unakula ridit kwangu...nilikukuta kimbaumbau wewe nimekulisha weeeee sasa unanenepa...afu ananuna kdg mi nambembeleza ....ahh araha kweli kweli...!!!!!!

yaan wanaume wa skuiz wna tabu kwakwlei manake wanawake wamaemkaaaaa sana ukifanya kituko ichi mwenzio ashakisikia kwa nyamayao long tyme na anakuchek tu akufanye ivi...ukifanya utumbo huu mwenzio long tyme mwanajamii one ashamwambia so anarefer tu ajue akupe hukumu gan...sio km zaman mdada unaingia panapo ndoa ukiwa mweeeeeeeeupe kichwani vimbwanga vyote unafanya kujifunzi a apo ....


jf imenifunza meng ..yaan mtu akiniboa nakuja kusach post jf inayohusiana ili nione watu walishauri nini.....rrrahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!

njo ya twn basi...

Hahahha...wasimangaji nimewasahau!!Jamanibkuna watu utadhani kabla yao hukuwahi kuvaa nguo...kupanda gari au kula!!!

Nakuja mwaya....niagizie kabisa nikifika nikute ugali wangu umepoa!
 
teh teh teh ..usijali mpz we kuja mi ntaclear afu badaye nampelekea risiti MR GUBU...kulipa atalipa lakin badaye kusimangwa km kawa..mwone vile mtu gan wewe unakula ridit kwangu...nilikukuta kimbaumbau wewe nimekulisha weeeee sasa unanenepa...afu ananuna kdg mi nambembeleza ....ahh araha kweli kweli...!!!!!!

yaan wanaume wa skuiz wna tabu kwakwlei manake wanawake wamaemkaaaaa sana ukifanya kituko ichi mwenzio ashakisikia kwa nyamayao long tyme na anakuchek tu akufanye ivi...ukifanya utumbo huu mwenzio long tyme mwanajamii one ashamwambia so anarefer tu ajue akupe hukumu gan...sio km zaman mdada unaingia panapo ndoa ukiwa mweeeeeeeeupe kichwani vimbwanga vyote unafanya kujifunzi a apo ....


jf imenifunza meng ..yaan mtu akiniboa nakuja kusach post jf inayohusiana ili nione watu walishauri nini.....rrrahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!

njo ya twn basi...


Rose huishi vimbwanga wewe hahaaha.....mie ndio mmoja wa walioingia kichwa kichwa aisee lakini nashukuru imenifanya nimekuwa chizi anajua nilikuwaga mentor sasa kanifanya nimekuwa chizi kabisa, kingine ni kwamba mcwasujudie kwa ajili ya ndoa, toaga makucha ajue huko mbele anajipangaje akifanya madudu, sio mtu kwasasa mpo marafiki na unajua ana vimbwanga vyake huko unakaa kimya tu ili asibadili mcmamo wa ndoa, unamchengia kuanzia mapema kama ipo ipo tu bwana halafu hayabadilikagi haya so umkubali jinc alivyo kuanzia mapema, sio ile eti ntabadilisha/atabadilika tu...umekuwa mamake mzazi?
 
Kuna rafiki yangu mmoja alishawahi kunipa definition ya mapenzi akasema "Mapenzi ni upumbavu, uchafu,ujinga, raha,karaha na vingine viiiingi ukivichanganya pamoja"............................The Finest umesema "Love Dont make No sense"!!

Lizzy acha tu yaani ni kizungumkuti.

Yani ni kazi si kidogo....kama yangekua yanaendeleaga kama vile yanavyoanzaga kungekua hamna kulala.
 
Nyamayao hubakishii mtu eeh, kweli acha yawepo mana sometimes yana raha yake..!!mtu unakuta kutendwa kote bado mapenzini upo, nobody wants to be alone!!

wacha tu BJ.....mie nilivyotendwaga nilisema ctakaa nimepende hawa viumbe milele, nikapenda na kununuliwa jumla na kusahau nilivyotendwa, haya bac ndio nipumzike bac na vimbwabga bado vipogo tu mapenzi kitu cha ajabu kweli kweli, yangekuwa yana likizo kwa muda ya kuwa mnaishi kama kaka na dada mpaka likizo iishe.
 
Rose huishi vimbwanga wewe hahaaha.....mie ndio mmoja wa walioingia kichwa kichwa aisee lakini nashukuru imenifanya nimekuwa chizi anajua nilikuwaga mentor sasa kanifanya nimekuwa chizi kabisa, kingine ni kwamba mcwasujudie kwa ajili ya ndoa, toaga makucha ajue huko mbele anajipangaje akifanya madudu, sio mtu kwasasa mpo marafiki na unajua ana vimbwanga vyake huko unakaa kimya tu ili asibadili mcmamo wa ndoa, unamchengia kuanzia mapema kama ipo ipo tu bwana halafu hayabadilikagi haya so umkubali jinc alivyo kuanzia mapema, sio ile eti ntabadilisha/atabadilika tu...umekuwa mamake mzazi?

Mpenz hii ni Aljazeera live bila chenga!!Mtu kubadilika ukubwani ni kazi ila kazi zaidi ipo kwenye kumbadilisha akiwa ndoani wakati kabla haikuwezekana!!

Hapo kwenye makucha ndo wengi hua wanakosea....unajifanya unamkubali kwa kila kitu kumbe ndani unaugulia maumivu.Matokeo yake ukiwa ndani makucha yako yanaishia kukuumiza wewe mwenyewe zaidi ya mwenzako!Bora mtu akujue tolea nje mkiingia ndani hata heshima inakuwepo maana anajua kabisa mambo yanavyotakiwa kwenda!
 
........shikamana!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.&lt;br /&gt;<br />
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lizzy kunawengine wanamtindo wa kuweka ki2 moyon hasemi wala nini,afu wengine wanatabia ya kusemea pembeni,yeye yupo radhi amuelezee shoga ake mambo yenu kuliko akwambie myamalize.af kuna wengine funga kazi,hao huwa wanafikiria wanaibiwa muda wote hata kama wapo peke yao.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lizzy kunawengine wanamtindo wa kuweka ki2 moyon hasemi wala nini,afu wengine wanatabia ya kusemea pembeni,yeye yupo radhi amuelezee shoga ake mambo yenu kuliko akwambie myamalize.af kuna wengine funga kazi,hao huwa wanafikiria wanaibiwa muda wote hata kama wapo peke yao.
Hilo kundi la mwisho ndo hua linanimaliza nguvu...yan mtu kutokujiamini kwake kunazaa kutokumwamini mwenzake.Matokeo yake amani inatoweka kabisa kwenye mahusiano!

Mmmh hao wasioongea hao siku akija kulipuka utashangaa!Mi napenda nikasirike...nilalamike...nieleweshwe then yaishe kila mtu aendelee na mambo yake.Sio kesi inaishia katikati....yani mambo ya ITAENDELEA sifagilii kabisa!
 
wacha tu BJ.....mie nilivyotendwaga nilisema ctakaa nimepende hawa viumbe milele, nikapenda na kununuliwa jumla na kusahau nilivyotendwa, haya bac ndio nipumzike bac na vimbwabga bado vipogo tu mapenzi kitu cha ajabu kweli kweli, yangekuwa yana likizo kwa muda ya kuwa mnaishi kama kaka na dada mpaka likizo iishe.

hahahahahah Nyamayao bana halafu likizo ikiisha mnarudisha mapenzi?
 
Mpenz hii ni Aljazeera live bila chenga!!Mtu kubadilika ukubwani ni kazi ila kazi zaidi ipo kwenye kumbadilisha akiwa ndoani wakati kabla haikuwezekana!!

Hapo kwenye makucha ndo wengi hua wanakosea....unajifanya unamkubali kwa kila kitu kumbe ndani unaugulia maumivu.Matokeo yake ukiwa ndani makucha yako yanaishia kukuumiza wewe mwenyewe zaidi ya mwenzako!Bora mtu akujue tolea nje mkiingia ndani hata heshima inakuwepo maana anajua kabisa mambo yanavyotakiwa kwenda!

ndio hapo unaanza kuambiwa cku hizi umebadilika, haukuwa hivi na vile na mambo kibao, ya nn maneno?
 
Back
Top Bottom