We nyamayao..... mi yananibore sana hasahasa kinachoudhi unafuatilia demu for 2yrs anakubali 1 second, halafu mnakaa nae kwenye malovedavi kwa 6months mnapigana kibuti inasumbua sana akili yangu.
NAKUPENDA ILA MUDA BADO
Unaniangusha partner....and im falling really hard!
Popote mpenzi....ilimradi nikwachie bili!
wengine tulijishtukia tumeingia kwenye game tukijua zile babie,sweet,darlie zinaendelea milele, haaa kushtuka kumbe nilikuwa naota....hahaah but wacha yawepo yatupunguze viherehere.
sasa hapo ni kwamba mmeshtukizia kwamba hamuivi chungu kimoja au? au unakosea kwenye uchaguzi wako?
hahahahahah Nyamayao unanifurahisha? akili robo kijiko ndio nini tena? kwa hiyo sasahivi uko juu mbaya.
IF YOU DO ME ....I DO YOU!!!
teh teh teh ..usijali mpz we kuja mi ntaclear afu badaye nampelekea risiti MR GUBU...kulipa atalipa lakin badaye kusimangwa km kawa..mwone vile mtu gan wewe unakula ridit kwangu...nilikukuta kimbaumbau wewe nimekulisha weeeee sasa unanenepa...afu ananuna kdg mi nambembeleza ....ahh araha kweli kweli...!!!!!!
yaan wanaume wa skuiz wna tabu kwakwlei manake wanawake wamaemkaaaaa sana ukifanya kituko ichi mwenzio ashakisikia kwa nyamayao long tyme na anakuchek tu akufanye ivi...ukifanya utumbo huu mwenzio long tyme mwanajamii one ashamwambia so anarefer tu ajue akupe hukumu gan...sio km zaman mdada unaingia panapo ndoa ukiwa mweeeeeeeeupe kichwani vimbwanga vyote unafanya kujifunzi a apo ....
jf imenifunza meng ..yaan mtu akiniboa nakuja kusach post jf inayohusiana ili nione watu walishauri nini.....rrrahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
njo ya twn basi...
teh teh teh ..usijali mpz we kuja mi ntaclear afu badaye nampelekea risiti MR GUBU...kulipa atalipa lakin badaye kusimangwa km kawa..mwone vile mtu gan wewe unakula ridit kwangu...nilikukuta kimbaumbau wewe nimekulisha weeeee sasa unanenepa...afu ananuna kdg mi nambembeleza ....ahh araha kweli kweli...!!!!!!
yaan wanaume wa skuiz wna tabu kwakwlei manake wanawake wamaemkaaaaa sana ukifanya kituko ichi mwenzio ashakisikia kwa nyamayao long tyme na anakuchek tu akufanye ivi...ukifanya utumbo huu mwenzio long tyme mwanajamii one ashamwambia so anarefer tu ajue akupe hukumu gan...sio km zaman mdada unaingia panapo ndoa ukiwa mweeeeeeeeupe kichwani vimbwanga vyote unafanya kujifunzi a apo ....
jf imenifunza meng ..yaan mtu akiniboa nakuja kusach post jf inayohusiana ili nione watu walishauri nini.....rrrahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
njo ya twn basi...
Kuna rafiki yangu mmoja alishawahi kunipa definition ya mapenzi akasema "Mapenzi ni upumbavu, uchafu,ujinga, raha,karaha na vingine viiiingi ukivichanganya pamoja"............................The Finest umesema "Love Dont make No sense"!!
Lizzy acha tu yaani ni kizungumkuti.
Neno "Love" lina mpango wa kuondolewa kwenye dictionary. kaeni mkao wa kula.Love Don't Make No Sense
Nyamayao hubakishii mtu eeh, kweli acha yawepo mana sometimes yana raha yake..!!mtu unakuta kutendwa kote bado mapenzini upo, nobody wants to be alone!!
Rose huishi vimbwanga wewe hahaaha.....mie ndio mmoja wa walioingia kichwa kichwa aisee lakini nashukuru imenifanya nimekuwa chizi anajua nilikuwaga mentor sasa kanifanya nimekuwa chizi kabisa, kingine ni kwamba mcwasujudie kwa ajili ya ndoa, toaga makucha ajue huko mbele anajipangaje akifanya madudu, sio mtu kwasasa mpo marafiki na unajua ana vimbwanga vyake huko unakaa kimya tu ili asibadili mcmamo wa ndoa, unamchengia kuanzia mapema kama ipo ipo tu bwana halafu hayabadilikagi haya so umkubali jinc alivyo kuanzia mapema, sio ile eti ntabadilisha/atabadilika tu...umekuwa mamake mzazi?
<br /><br />........shikamana!<br /><br />
<br /><br />
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k<br /><br />
<br /><br />
Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.<br /><br />
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!<br /><br />
<br /><br />
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!<br /><br />
<br /><br />
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!
Hilo kundi la mwisho ndo hua linanimaliza nguvu...yan mtu kutokujiamini kwake kunazaa kutokumwamini mwenzake.Matokeo yake amani inatoweka kabisa kwenye mahusiano!<br /><br />
<br /><br />
Lizzy kunawengine wanamtindo wa kuweka ki2 moyon hasemi wala nini,afu wengine wanatabia ya kusemea pembeni,yeye yupo radhi amuelezee shoga ake mambo yenu kuliko akwambie myamalize.af kuna wengine funga kazi,hao huwa wanafikiria wanaibiwa muda wote hata kama wapo peke yao.
wacha tu BJ.....mie nilivyotendwaga nilisema ctakaa nimepende hawa viumbe milele, nikapenda na kununuliwa jumla na kusahau nilivyotendwa, haya bac ndio nipumzike bac na vimbwabga bado vipogo tu mapenzi kitu cha ajabu kweli kweli, yangekuwa yana likizo kwa muda ya kuwa mnaishi kama kaka na dada mpaka likizo iishe.
Mpenz hii ni Aljazeera live bila chenga!!Mtu kubadilika ukubwani ni kazi ila kazi zaidi ipo kwenye kumbadilisha akiwa ndoani wakati kabla haikuwezekana!!
Hapo kwenye makucha ndo wengi hua wanakosea....unajifanya unamkubali kwa kila kitu kumbe ndani unaugulia maumivu.Matokeo yake ukiwa ndani makucha yako yanaishia kukuumiza wewe mwenyewe zaidi ya mwenzako!Bora mtu akujue tolea nje mkiingia ndani hata heshima inakuwepo maana anajua kabisa mambo yanavyotakiwa kwenda!