Ukishuka Airport Dar ukapita barabara kuu unaona jinsi nchi na watu wake walivyochoka. Viongozi mnafeli wapi?

Kituko kipo Dodoma kuelekea ikulu

Kama umetembelea nchi za wenzetu ukaona ikulu zao zilivyozungukwa na mitaa safi majengo mazuri, na barabara za kiwango cha juu kabisa alafu ukaja Tanzania Dodoma uende uelekeo wa Ikulu unaweza dhani uko karne ya 18 huko.

Ikulu yetu imezungukwa na vijumba vya hovyo, havijajengwa vizuri, kuna maeneo hadi kuna vinyumba vya udongo, vumbi la kufa mtu hadi unaweza sema sie ni wanyama sio binadamu.
 
Halafu sasa ukifika airport jinsi maafisa usalama walivyojazana ktk nguo za kiraia, yaani wapowapo tu wamezagaa zagaa utadhani bado tupo enzi zile za ushushushu wa mwaka 47
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…