Ukisikia hivi, jua ni kizinga cha hela

Ukisikia hivi, jua ni kizinga cha hela

Nikopeshe laki nakurudishia tarehe 23 nimetoka kuambiwa hvyo jana tuu.
 
Nakumbuka siku ya eid

SMS za michepuko kama 14 ziliingia halafu kila mmoja anaingia na gia yke Mara hela ya saluni,mwingine hela ya dela

30,000 Mara 50,000 nilibaki kucheka tu nikajikaushia kmy


Halafu hawa wadudu hawajishtukii ase ,kuna mmoja alinipigia mahesabu 100,000 khaa

Mshahara wa mtu huo
 
Mi nawaambiaga sifanyi kazi ila wazazi wangu wana pesa wanaishi ughaibuni huko.
 
Mi kuna dude linapiga mizinga mpaka kero mara dia nimepata ajali mbaya sana nipo MOI/ Muhimbili inahitajika hela ya kununua mfupa wa uti wa gongo umekatika! namwambia ngoja nije kukuona basi ooh nipo ICU hairuhusiwi mtu kuja kuniona!!!
 
Unafanya kazi gani? Jua anakuadiria utamfaa ama laa

Unakuja na gari?

Najisikia vibaya sina hela ya kwenda hosptal

Natamani tuonane ila nywele sijasuka siwezi kutembea hivi

Unaweza nisaidia hela ya saloon?

Naomba unikope hela ntakurudishia baada ya siku 2

nadaiwa ada mwenzio

natamani kuja ila sina nauli

Mwenzio na njaa sijakula

Simu yangu mbovu
Mwanamke wa aina hii jitahidi umtumie na uachane nae maana ni bomu la machozi la kutosha kabisa.
 
kuna mtu aliniuliza nafanya kazi wapi.. nikamjibu kampuni ya ulinzi.. alishtuka huyo kama sio kazi halali vile...
Yangu ya mochwari ndio kiboko nilishashuhudia mtu akikaribia kupoteza fahamu baada ya kumtajia kazi yangu
 
Bebi naomba elfu 30 nikatengeneze nywele.....

Hivi hiyo elfu 30 ndo standard au....?
Anaenda kuweka katani yenye rangi kichwani ambayo haitoi kwa mwezi mzima kiasa kwamba kichwa kinamuwasha mpaka anakigongagonga na kukuna


Argghh chawa nje nje[emoji16]
 
Kuna mmoja nilipotezana nae miaka kama. Miwili iliyopita sababu alinizingua so nikampotezea mazima

Sasa juzi kanitafuta mwenyewe kaniomba msamaha anataka kuendelea na Mimi OK nikaona poa kwa kuwa K imejileta yenyewe wacha niile tu maana K haisuswi

Sasa Jana si akaanza kunitangazia shida ooooh nadaiwa kodi mwenye nyumba atanifukuza daa

Nilichoka akili na roho hahahh

Pumbavu
 
Back
Top Bottom