Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Kufa anakuwa amekufa ndio mana anaanza kuoza na kunuka
 

Miaka 87 sio mzee sana Mkuu.
Labda awe mgonjwa au alipata changamoto ya maradhi

Ni kweli kuna mambo yanatosha ukisikia
 
Kuna wazee wengine wakifa basi na wake zake nao wanakufa, hawanaga masihara hata kidogo na Mali zao.
 
Hii Niliiona Mzee mmoja kijiji cha Lupunga wilaya ya Malinyi Yule mzee alianza Kuoza watu wakamtoa alivopigwa na Jua akakata Moto
 
Nimewahi sikia pia uwepo wa dawa ya kusimamisha umri wa mimba.
Ngoma kama ipo 3 months unaweza kuisha mwaka pasipo kukua.

Sijui kama kuna ukweli.
Binafisi Kuna mwana ukoo mimba yake ilidumu mwaka na miezi3 na alipozaliwa alizaliwa na mizizi kwenye kiganja chake Cha mkono.

Hana maajabu yoyote ni kama punguani flani.

Story zinasemekana mama yake alikuwa mgumba akaenda Kwa songoma ndo akafanya yake ikatokea hivo na akaendelea kuzaa kawaida
 
CHAI
 
chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…