Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

izo dawa zipo, hadi mtu anaoza kinamna ila hakati moto
Mtu kufa anayepanga ni Mungu na si madawa ya asili kama kweli wana hiyo basi hata ya kuzuia uzee wangekuwa nayo sasa kuna faida gani kuishi umri mrefu hadi kuzeeka huku una mali nyingi na wakati ingekuwa rahisi kuzuia na uzee mtu uishi mpaka dunia ifike mwisho.
 
Ngumu kupata now days
Kwanza wataalam wengi hawapona miti mingi ya asili imepotea kwenye pori la VIGWAZA wilaya KIBAHA kulikuwa na MITI yenye TIBA mbalimbali lakini now pori lote limeondoka ni MAJUMBA TUPU na ukikuta PORI limeshauzwa hvyo mnunuzi anafyeka
hvyo ule UHARISIA umepotea
Babu yangu now ana miaka 102
Kapooza Kila kitu hata kuona aoini YUPO kitandani mwaka wa 10 huu Kila siku tunasema atakufa Leo hatakufa kesho zaidi tunakufasie vijana yeye tunamuacha
HAwa wazee wa zamani KONYO sana
Mkuu acha apate mwanga wa jua😊😶
 
Mzee wangu alishanipa story Kama hizi... ila usichokijua ni kwamba yule mtu huwa anakuwa tayari kishakufa🤝

Evidence: wote wanaofikiaga hyo hali huwa hawawezi tena kuongea, kula, kusimama..... Anachoweza fanya ni kupumua na kutizama

Pia tizama yao huwa ya tofauti, na pumua yao huwa sio ya kawaida......

Miili yao huanza kutoa harufu ya umauti n.k
Wale huwa roho ishatoka lakini kuna elim flan flan huwa inapitika hapo katikati ambayo mtu wa kawaida hawezi elewa🚶🚶
 
Habari za Leo mabibi na mabwana.

Mnamo 14/05/2024 tulimzika mzee mmoja kijijini kwetu jina (..)

Mzee yule alikuwa amemuoa shangazi yangu Mimi. Chanzo Cha kifo chake ni ugonjwa wa kisukari uliodumu Kwa muda mrefu.

Baada ya kuzunguka huku na huko na hospital mbalimbali kutafuta matibbu ya ugonjwa huu na kudanganywa na Kila aina ya wanatiba asilia kuwa wanaponesha.

Hatimae mzee huyu alizirudia tiba za hospital (vidonge).

Ikumbukwe mzee huyu kaugua kisukari zamani kidogo ni zaidi ya miaka 10 ana kisukari.

Hadi mwishoni mwa mwaka 2023 Hali yake ilizorota sana na kuandamwa na magonjwa mbalimbali.

Mapema mwezi wa kwanza mwaka huu walimpeleka sengerema mission na kupewa rufaa Hadi bungando.

Na walipofika pale wakakutana na bro yangu yupo hapo (Dr)

Baada ya vipimo kufanyika waliambiwa in,Figo nk havifanyi kazi Tena hivyo wakaambiwa warudi wasubiri lolote(kama mnavyojua kauli hii humanisha kifo)

Yule kaka akawaambia mlichoambiwa ni sahihi kuliko kusafirisha maiti ni Bora msafirisheni ingali Bado Yu hai.

Nifupishe kisa hiki

Mwezi wa pili baada kwenda kijijn nikaona ni Vyema na haki Nami nikamuone huyu mgonjwa.

Nikafika nikamkuta mgongwa anakula Kwa mrija ametibolewa hivyo uji unapita Kwa mrija na kukojoa pia anakojoa Kwa mirija.

Kwakweli Hali yake haikuwa nzuri Wala hakuna matumaini kabisa.

Daima ndg wa karibu walikuwa wanakaa hapo nyumbani wakisubiri Kila anaye Toka ndani awaambie lolote.

Niliondoka nikiwa najua kabisa Kwa Hali hii mzee wetu huyu siku3 hatoboi.

Mwezi wa 1 ukakata wa pili ukakata watatu na wanne pia ukaisha Ngoma bila bila.

Madaktari wenyewe walikuwa wanashangaa sana. Kila wanapokuja.

Ilifikia kipindi hata kula Hali Wala kunywa maji hanywi.

Lakini kufa hafi. Hadi tarehe 9/5/2024 Watoto wakakaa kikao wakasema jambo hili sio sawa jamani hii haiwezekani Wala hatujawahi ona.

Ndipo wakasema aitwe mmoja wa baba zao wakubwa kwenye ukoo wao nae ni mzee sana kwenye miaka 87+ Hivi.

Baada tu ya kufika pale wakamueleza Hali ILIVYO ndipo akawapa Siri hii..... ....

Akawaambia walichanjwa dawa inayoitwa "BHUFAKALE" Hii ni Kwa kisukuma tafsiri yake kufa zamani.

Ndipo wakaambiwa kuwa nendeni mkamtoe kwenye nyumba ya bati mwekeni kwenye nyumba ya nyasi mlazeni humo halafu mbomoeni (waezue zile nyasi juu ya paa)

Iwapo atapata mwanga wa jua tu(kivuli Cha jua) atakufa muda huohuo hatachukua muda na kama Hana hiyo dawa basi mtamrejesha kwenye nyumba ya bati.

Kweli baada ya kutoka huko hawakuchukua muda wakamtoa na kumuingiza jikoni maana ndo nyumba ya nyasi pekee ilikuwa imebakia pale.

Ilipofika saa 3 asubuhi ya tarehe 12 mzee akafariki ni baada tu ya kupata huo mwanga wa jua.

Hii ni ngumu kidogo kuamini wale wa Kwa mwamposa, Baraka, mzee wa upako, Malisa l, kiboko wa wachawi nk.

Mzee alikuwa mfugaji mkubwa sana.

Siku ya mazishi 14/5/2024

Nikabahatika kuonana na mzee mmoja wa makamo nikaanza ulizia hii imekaaje na Nini faida yake?

Aliniambia mengi lakini Kwa kifupi tu alisema kuwa

Wazee wa zamani walikuwa na Imani ya kwamba akiwa na hiyo dawa kwanza inaendana na Baraka na laana

Akikubariki amekubariki na utafanikiwa pia akikulaani wewe umelaanika yamkini hata ungeoga mafuta ya mwamposa Bado laana yake isingekutoka.

Pili akasema waliamini akichelewa kufa manake atakula mali yake vizuri Hadi anakufa kashabakiza kidogo tu.

Maana yeye anakuwa anajua kabisa kuwa huenda ugonjwa huu ndo utaniondoa ila Kwa sababu ya dawa hii niliyochanjiwa Wacha Nile Mali zangu.

Je ulikuwa unalijua hili mwana JF?

MWISHO.
KUFA ni nini?
Kwanini unakufa?
Hiyo dawa inazuiaje usife?

Kwamba ukinywa hiyo dawa hata figo zako zikifeli completely HAUFI?
Kwamba hata uking’atwa na black mamba hufi?
Kwamba hata ukipata ajali mbaya kiasi gani hautakufa? Nk nk nk?

Una justify vipi kwamba aliyekunywa hizo dawa alipaswa kuwa amekufa, labda alikatwa kichwa lakini bado anaishi?
Kwamba Moyo wake ulikwisha simama kitambo lakini bado anaishi?

Hizo ni hekaya kama hekaya zingine
 
Mwenye uwezo wa kutoa au kutokutoa uhai ni Allah pekee... Na si vinginevyo
Sasa kwa hio logic yako utabisha vipi kwamba sio Allah ndio ameleta hio dawa ili huyo jamaa abaki mpaka kinachotokea kikitokea ?

Ukishaamini upande huu ni vigumu sana kukataa upande ule kwa hoja zaidi ya wewe na yeye nyote kuwa kwenye mambo ya kufikirika hence hakuna wa kumshangaa mwenzake...

In short kwenye imani anything goes..., ila kama tunaongelea facts (known truth) hayo yote ya kwake na yako yanaingia kwenye kapu moja....
 
Habari za Leo mabibi na mabwana.

Mnamo 14/05/2024 tulimzika mzee mmoja kijijini kwetu jina (..)

Mzee yule alikuwa amemuoa shangazi yangu Mimi. Chanzo Cha kifo chake ni ugonjwa wa kisukari uliodumu Kwa muda mrefu.

Baada ya kuzunguka huku na huko na hospital mbalimbali kutafuta matibbu ya ugonjwa huu na kudanganywa na Kila aina ya wanatiba asilia kuwa wanaponesha.

Hatimae mzee huyu alizirudia tiba za hospital (vidonge).

Ikumbukwe mzee huyu kaugua kisukari zamani kidogo ni zaidi ya miaka 10 ana kisukari.

Hadi mwishoni mwa mwaka 2023 Hali yake ilizorota sana na kuandamwa na magonjwa mbalimbali.

Mapema mwezi wa kwanza mwaka huu walimpeleka sengerema mission na kupewa rufaa Hadi bungando.

Na walipofika pale wakakutana na bro yangu yupo hapo (Dr)

Baada ya vipimo kufanyika waliambiwa in,Figo nk havifanyi kazi Tena hivyo wakaambiwa warudi wasubiri lolote(kama mnavyojua kauli hii humanisha kifo)

Yule kaka akawaambia mlichoambiwa ni sahihi kuliko kusafirisha maiti ni Bora msafirisheni ingali Bado Yu hai.

Nifupishe kisa hiki

Mwezi wa pili baada kwenda kijijn nikaona ni Vyema na haki Nami nikamuone huyu mgonjwa.

Nikafika nikamkuta mgongwa anakula Kwa mrija ametibolewa hivyo uji unapita Kwa mrija na kukojoa pia anakojoa Kwa mirija.

Kwakweli Hali yake haikuwa nzuri Wala hakuna matumaini kabisa.

Daima ndg wa karibu walikuwa wanakaa hapo nyumbani wakisubiri Kila anaye Toka ndani awaambie lolote.

Niliondoka nikiwa najua kabisa Kwa Hali hii mzee wetu huyu siku3 hatoboi.

Mwezi wa 1 ukakata wa pili ukakata watatu na wanne pia ukaisha Ngoma bila bila.

Madaktari wenyewe walikuwa wanashangaa sana. Kila wanapokuja.

Ilifikia kipindi hata kula Hali Wala kunywa maji hanywi.

Lakini kufa hafi. Hadi tarehe 9/5/2024 Watoto wakakaa kikao wakasema jambo hili sio sawa jamani hii haiwezekani Wala hatujawahi ona.

Ndipo wakasema aitwe mmoja wa baba zao wakubwa kwenye ukoo wao nae ni mzee sana kwenye miaka 87+ Hivi.

Baada tu ya kufika pale wakamueleza Hali ILIVYO ndipo akawapa Siri hii..... ....

Akawaambia walichanjwa dawa inayoitwa "BHUFAKALE" Hii ni Kwa kisukuma tafsiri yake kufa zamani.

Ndipo wakaambiwa kuwa nendeni mkamtoe kwenye nyumba ya bati mwekeni kwenye nyumba ya nyasi mlazeni humo halafu mbomoeni (waezue zile nyasi juu ya paa)

Iwapo atapata mwanga wa jua tu(kivuli Cha jua) atakufa muda huohuo hatachukua muda na kama Hana hiyo dawa basi mtamrejesha kwenye nyumba ya bati.

Kweli baada ya kutoka huko hawakuchukua muda wakamtoa na kumuingiza jikoni maana ndo nyumba ya nyasi pekee ilikuwa imebakia pale.

Ilipofika saa 3 asubuhi ya tarehe 12 mzee akafariki ni baada tu ya kupata huo mwanga wa jua.

Hii ni ngumu kidogo kuamini wale wa Kwa mwamposa, Baraka, mzee wa upako, Malisa l, kiboko wa wachawi nk.

Mzee alikuwa mfugaji mkubwa sana.

Siku ya mazishi 14/5/2024

Nikabahatika kuonana na mzee mmoja wa makamo nikaanza ulizia hii imekaaje na Nini faida yake?

Aliniambia mengi lakini Kwa kifupi tu alisema kuwa

Wazee wa zamani walikuwa na Imani ya kwamba akiwa na hiyo dawa kwanza inaendana na Baraka na laana

Akikubariki amekubariki na utafanikiwa pia akikulaani wewe umelaanika yamkini hata ungeoga mafuta ya mwamposa Bado laana yake isingekutoka.

Pili akasema waliamini akichelewa kufa manake atakula mali yake vizuri Hadi anakufa kashabakiza kidogo tu.

Maana yeye anakuwa anajua kabisa kuwa huenda ugonjwa huu ndo utaniondoa ila Kwa sababu ya dawa hii niliyochanjiwa Wacha Nile Mali zangu.

Je ulikuwa unalijua hili mwana JF?

MWISHO.
Bufakale ni hatari mkuu
 
KUFA ni nini?
Kwanini unakufa?
Hiyo dawa inazuiaje usife?

Kwamba ukinywa hiyo dawa hata figo zako zikifeli completely HAUFI?
Kwamba hata uking’atwa na black mamba hufi?
Kwamba hata ukipata ajali mbaya kiasi gani hautakufa? Nk nk nk?

Una justify vipi kwamba aliyekunywa hizo dawa alipaswa kuwa amekufa, labda alikatwa kichwa lakini bado anaishi?
Kwamba Moyo wake ulikwisha simama kitambo lakini bado anaishi?

Hizo ni hekaya kama hekaya zingine
Kama wewe ni mmoja wawafasi wa mfalme zumaridi na wenzie basi Uzi huu hutokaa uuelewe milele.

Ubongo wako wazungu wameuathiriki pakubwa sana.
 
Mzee wangu alishanipa story Kama hizi... ila usichokijua ni kwamba yule mtu huwa anakuwa tayari kishakufa🤝

Evidence: wote wanaofikiaga hyo hali huwa hawawezi tena kuongea, kula, kusimama..... Anachoweza fanya ni kupumua na kutizama

Pia tizama yao huwa ya tofauti, na pumua yao huwa sio ya kawaida......

Miili yao huanza kutoa harufu ya umauti n.k
Wale huwa roho ishatoka lakini kuna elim flan flan huwa inapitika hapo katikati ambayo mtu wa kawaida hawezi elewa🚶🚶
Mkuu haya mambo ni makubwa na magumu sana
 
Back
Top Bottom