Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Bahati mbaya Bible siijui..kwa hiyo sina jibu
Uchawi upo mkuu na hili nililo lishuhudia lipo.

Mtu alikaa zaidi siku14 bila kula muda huo baadhi ya mwili wake umeanza haribika.

Kitendo Cha kutolewa kwake na kuhamishiwq pengine na akapata mwanga wa jua na kufa Bado nisiamini ni kwelii?

Maandiko yanashuhudia kuwa Musa alipotupa fimbo yake na kugeuka kuwa nyoka na wachawi wa misri walifanya hivo hivo.

Ndipo yule nyoka wa Musa akawla nyoka wote wa wa wachawi.


Hapo tunaona utofauti ulikuja kuzidiana nguvu tu lkn Kwa upande wa miujiza Ngoma ilikuwa droo sio Musa sio wachawi.

Naishia hapa
 
Hoja ni hii Kwa wastani binadamu asipo kula Wala kunywa anaweza ku survive Kwa muda Gani Hadi umauti kumkuta?
Kwahiyo hii dawa inachelewesha kufa kwa njaa tu? Na kwa muda gani?

Au hata ukipata ajali ukakatika kichwa utachelewa kufa pia?
 
Hilo jua ni la kwenye nyumba ya nyasi tu? Siku nyingine hapigwi na jua?
 
Hayo siyajui mkuu ninachojua ndo nilicho share na ninyi hapa.

Kilichobaki ni kuamini au kukut it's your own choice
Kwahiyo hii dawa inachelewesha kufa kwa njaa tu? Na kwa muda gani?

Au hata ukipata ajali ukakatika kichwa utachelewa kufa pia?
 
Alikuwa mgonjwa sana. Alikuwa hatoki Nje huduma zote alikuwa anapewa akiwa kitandan.

Nadhani masharti ya dawa ndo yalivo.

Kuna Babu yetu mdogo aliyebakia umri wanakadiria 94+

Pamoja na kumjengea nyumba kubwa ya kisasa m south hajawahi lala humo Huwa analala kwenye nyumba yake ya miti na nyasi mpaka Leo. Huwa tukimuuliza anasema nyumba za bati Zina kelele hasa mvua ikiwa inanyesha.

Sijui kama anasababu nyingine ya msingi kama hiyo.
Hilo jua ni la kwenye nyumba ya nyasi tu? Siku nyingine hapigwi na jua?
 
Kuna bibi mmoja alikua anaogopeka sana kijijini kwa uchawi, alipofikia hali hiyo ikabidi wajukuu zake waanze kumletea waganga wakumuua, maana waliezua nyasi akapigwa jua mpaka na mvua ikamnyeshea hafi tu.

Mganga wa kwanza alipoingia tu ndani, tukaanza kusikia analia ile kuja kutoka ameloa jasho mwili mzima hakusema kilichomtokea zaidi ya kubeba mizigo yake na kusepa.

Wapili na wa tatu nae hivyo hivyo, mpaka alivyo kuja wa nne ndiyo akafanikiwa, nae nafikiri alisaidiwa na style yake ya kuingia kinyunyume kama mchizi mox.
 
Pita kushuto huku unachechemea mkuu
Simple logic kuna haja gani ya kutokufa huku ukiishi ukiwa mzee kibogoyo, umejichokea , huna kumbukumbu na mali nyingi wakati wangetengeneza na ya kuzuia uzee kabisa ili uishi kwa starehe ukiwa kijana milele , hii ina prove uongo uongo mwingi na UJINGA ULIOKITHIRI
 
Nenda kamuhoji marehem mimi Sina majibu.πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukute hapo ndo una miaka22+ yaani hata wewe hujijui umekulia mjini na unaishi mjini. Hizi code ni zetu waafrica halisi
 
Sumple tu muingizeni ndani kisha mkokee moto kwa jiko la mkaa kisha fungeni milango na madirisha muacheni Babu wawatu apate joto kidogo kesho yake mfungulieni mtakuja kunishukuru mtakuta keshapona mda sana..
 
Hii naijua hata Babu yangu walifanya hvo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…