Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Umejilipua kweli maana kuuza ndio akili itakukaa sawa kama una pesa ya mawazo
 
CRDB na NMB wanafanya vizuri sana DSE
Nmb plc wanafanya vizuri ila crdb plc wanacheza na price not really trust me. Yaani mwenye hisa 1000 nmb anapata zaid same thaman kubwa kuliko mwenye hisa 1000 crdb plc
 
Nmb plc wanafanya vizuri ila crdb plc wanacheza na price not really trust me. Yaani mwenye hisa 1000 nmb anapata zaid same thaman kubwa kuliko mwenye hisa 1000 crdb plc
Ni issue ya calculation tu ie hisa 1000 NMB * 5900 = 5,900,000 while hisa 1000 CRDB * 760 = 760,000 huoni utofauti hapo? Divient ukinunua hisa za CRDB mwaka huu kwa 5,900,000 ÷ 760 =7763 × 67 = 520,121 while NMB with same amount Utapata hisa 1000 * 360 = 360,000. Chaguo ni lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…