Wewe ndiye mjinga kumtukuza muuaji, mporaji, mtekaji na mtukanaji. Bora kafa kifo cha aibu.ila hii nchi ina watu wa hovyoo.
imagine hii comment inatoka kwa member wa JF.
Hopeless kbsa.
hyo bei ya sembe laki 1 mama yako angeinunua kipindi unanyonya ???
Nchi ya wajinga hii
Mpuuzi yule alikuwa anatuingiza mjini kwa kutaja namba za uwongoMkandarasi wa mmabarabaraa anayataja yote eti kunakipindi ametaja idadi ya samaki baharini wabongo bwana Hadi senza ya samaki
Kwanza ilikuwa ni ujinga ktk zama hizi kuhamia Dodoma kwa sababu za miaka ya 1970.Kwani serikali kuhamia Dodoma kuna faida Gani serikali bado ipo dar ndugu dodoma Kule vikao vya Chama system yote ipo dar vp wa america ungemwona chamwino lakini kafikia dar kaondokea dar
Nyooo! Kwa lipi? Labda wanamjua kwa maovu ya kupora, kuiba, kuteka na kupiga watu risasi.Tatizo lako unaandika vitu halafu hujawahi kuvuka border. West Africa wanamjua Magufuli kuliko hata Tanzania yenyewe.
JPM alikuwa economic and revolutionary leader ndo maana viongozi wengi wa Africa wanajitahidi kuiga. Anakubalika Sana kwa nchi karibu zote Africa na Tanzania kasolo wewe mwenye chuki binafsi, angalia sasa mambo yalivyo linganisha na kipindi cha JPM wanaofaidi sasa hivi ni wale walioko kwenye circle. Karibu 90% wananchi wa kawaida Ni njaa na shida tupu.Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Tembea upate exposure, Waafrika wanamtambua na wanamkubali. Wakina JK, Lissu, Mbowe, Sa100 umaarufu wao unaishia hapo Kenya.Nyooo! Kwa lipi? Labda wanamjua kwa maovu ya kupora, kuiba, kuteka na kupiga watu risasi.
Nyooo! Kwa lipi? Labda wanamjua kwa maovu ya kupora, kuiba, kuteka na kupiga watu risasi.
Tatizo lako wewe ni local huwezi kuona vitu kwa mapana. Hao viongozi wote walikuwa wanajua ukweli lakini Magu alikosea kuingilia maslahi yao hata sisi kuna mahali alituingilia na nilimuona alikuwa very unreasonable na angendelea na mimi ningekuwa upande wako (kwasababu za kimaslahi) lakini kwa ujumla hii nchi aliiweza .Mpuuzi yule alikuwa anatuingiza mjini kwa kutaja namba za uwongo
Mbwiga umesahau post yako #24 ndiyo umeanza matusi mimi nimekujibu tu sawa sawa na ujinga wako .Umepaniki na matusi yako ya kizamani mno Mkuu! Lete mapya!
Imekubidi uache kujiheshimu siyo?
Muda utakupa majibu na hauto aminiUkisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Legacy ya taa?But man,
At least he showed us how the country can be governed...
Hizo barabara wilayani na taa za mitaa uliziona lakini
AiseeWorld bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.
Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Mbwiga umesahau post yako #24 ndiyo umeanza matusi mimi nimekujibu tu sawa sawa na ujinga wako .
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Una hasira kweli! Duuuuu, "Na walikufa" kuumbe, Watu wakiuwawa huwa wanakufa!Yes! Na walikufa! Go read your damnit bible. It is all written there!
Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
World bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.
Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Mbona kama umechafukwa vilivyo leo,kunani tena🤔Ukisikia watu wameiacha legacy ndiyo hawa sasa. Huyu aliacha alama kweli kweli!!!!
View attachment 2575597
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa.
Zaidi ya kuficha hela huko china kwenye akaunti binafsi alifanya nn kingine??
Zaidi ya kupora, kuiba, kuteka, kuua, kupiga watu risasi na kutukana hadharani, alifanya nn kingine?
Lakini wewe ndiye ulianza matusi mbona kwenye mada nyingine tunakwenda sawa tu? KaribuChief, I know you well! Our false names should not make us enemies, I ask that we respect each other chief
Najitahidi kweli ili tusikwazane aisee, Lakini kila nikijitahidi hautaki hata kuelewa Mkuu!
Siyo mbaya! Endelea nami nitajitahidi kukukwepa, huko tuendako sasa itanibidi nijitambulishe live kwako ambapo nadhani haitakuwa vema sana chief
Ben saa nane yuko kwa mwenyekiti wake anajuaKama ben saa nane angekuwa ndugu yako usingeandika haya. Ubinafsi na ujima kama marehem muuaji vinakusumbua. Ila roho yako inakuhukum kuwa kuua kwa vile ni kubaya!
Bora lingekausha hazina lakin watu wakabaki na uhai wao.
"..injustice for one is injustice for all"