Ukisikia Peoples Power ndio Hii

Ukisikia Peoples Power ndio Hii

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
SIo ile ya CHADEMA ikiongozwa na Maria Sarungi wakiwa Twitter kazi yao ni kurusha matusi tu. Kwa hali kama hii Lazima kielewea tutarajie lolote kutoka Korea muda mchache ujao.

Gd9hbeMXYAAGrVq.jpg
 
Mudaa utaongea ,tusipoandama cc hata wajukuu zako watafika mahali watachoka wataitoa CCM madarakan..
 
SIo ile ya CHADEMA ikiongozwa na Maria Sarungi wakiwa Twitter kazi yao ni kurusha matusi tu. Kwa hali kama hii Lazima kielewea tutarajie lolote kutoka Korea muda mchache ujao.

View attachment 3169169
Mnataka kina Maria Sarungi wakafe peke yao barabarani nyie mkipigania Simba na yanga pamoja nakujadili ushenzi wa kina Diamond huku mkipigania kuchakata nyuchi? Wapumbavu sana nyie matanganyika!
 
Kwani Maria Sarungi anaishi wapi?
Kelele zake ni nyingi Kule X but sijawahi kumuonea Frontline akipigana kama kina Lissu, na Mr Miwani
 
Kwani Maria Sarungi anaishi wapi?
Kelele zake ni nyingi Kule X but sijawahi kumuonea Frontline akipigana kama kina Lissu, na Mr Miwani

halafu mwenyewe huwa anajiona fighter sana, wakati hatujawahi kumuona live kwenye hata mkutano hadhara
 
halafu mwenyewe huwa anajiona fighter sana, wakati hatujawahi kumuona live kwenye hata mkutano hadhara
Yeye kaamua kupambania X kule - wewe nenda front physically - kama huwezi piga kimya mzee.Tusiwapangue watu namna ya kuendesha harakati zao.
Unalalamika kabisa mwanamke aende mbele akapambane kwa niaba yako na vizazi vyako. Huna aibu??
 
Back
Top Bottom