ukisikia ushauri na maneno ya kimapenzi ya wanawake wa jf utasema hawa ndo watalaam kumbe...

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mimi saa nyingine huwa napitia thread nyingi humu mmu hadi nashangaa. Nimejaribu kutafakali huu ushauri na maujanja ya hawa dada zetu wa jf wanautoa wapi? Ikabidi nitafute sample tu ya kuangalia je yaliyomo yamo? Nmegundua yanayo ongelewa na vitendo wanavyo fanya ni vitu viwili tofauti. Mtu unamwambia kata kiuno anakujibu "nimechoka", ukimwambia fanya hivi anakujibu "staki". Nani aliwambieni mapenzi yanataka ubabe? Mnayo yaongea humu muwe mnayaapply mnapokuwa na wapenzi wenu. ni hayo tu. Mia
 
Kwa hiyo unatuma ujumbe gani hapa? kua umeanza uhusiano na dada wetu wa JF?
 

Haya blackberi umejibiwa thread yako.
Mbuta.
 
maskini umechagua koroma la wanawake wa jf
anyway, mbona kasema hata wewe huutumii ushauri wa wanamme wa jf?
Eti ulikonsetrati na kupiga 18 wakati yeye hata kamoja bado

he he he, lako hilo usipoangalia watakurowesha
 
Labda inawezekana!Mpaka mtu kasema ana lake!Sasa mtu unashughulika mwenzio anakuambia "fanya fasta nataka nikachangie kwenye siredi yangu JF" unafikiri utajisikiaje?
 
Wanapigaga porojo tu hawajui hata moja,yaani mapenzi yao wanafanyia mdomoni tu.
 

Hongera kwa kuopoa kimwana ndani ya JF....ingawa inaelekea huyo dada kaku-disappoint sana. Otherwise sampling yako haikujitosheleza ndo maana ukakutana na kitu ambacho hakipo real....usikute hata wewe mwenyewe ulimboa. Cha msingi jipange uopoe kingine....eeeeeeeh!
 
Tunaomba ushuhuda.. Wewe kama lawyer mzoefu aliyosema mzee wa mia yana ukweli?

hehehe Hapa ukilopokwa mchumba anakimbia, acha niuchune tu, hakuna cha u lawyer wala ujaji. hili salaba atalibeba mzee wa mia peke yake.
 
Hiyo sample yako moja uliyoiokoteza gizani ndio umetujumuisha wote??? Hebu njoo kona nikuonyeshe,halafu urudi hapa usawazishe usemi wako.
 
Hiyo sample yako moja uliyoiokoteza gizani ndio umetujumuisha wote??? Hebu njoo kona nikuonyeshe,halafu urudi hapa usawazishe usemi wako.

Uzuri wenu mnajua kubana waume zenu hadi mnawaanzishia mathread ya kufa mtu. Kulinda mabwana wasiibiwe hilo nawapa heko lakini mengine tumwachie Mungu. Ntakuja usijali ndugu. Mia
 
Umewafanyia majaribio au utafiti wangapi?. Wahusika watakuja kujibu.

nilichukua strong and mature sample. Kama huna hata maujanja maneno nlikuwa sidili na wewe. Mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…