Robert greene
Member
- Nov 11, 2018
- 39
- 26
Hao wote ni wanasiasa, na hiyo ndiyo ajira yao, wote wanalipwa kufanya kazi kwa ajili ya wa tz. Japo kiwango cha utendaji kazi wao kinatofautiana.Hivi tundu lisu na magufuli mzalendo wa kweli ninani jamani ?
tendu lisu alitetea watu migodini bureeeeee walioonewa huku serikali ya ccm ikiwepo tena kwa upande onezi leo Hii tundu lisu mnasema sio mzalendo ??
hivi uzalendo wa magufuli ni upi unaomzidi tundu lisu
kama kweli magufuli ni mzalendo kuliko tundu lisu na vyombo vya dola vinaamini hivyo basi ni bora tupigwe bomu la nyuklia kizazi hiki cha wanafiki tanzania kifutike tuanze upya mungu aanzishe maumbile mapya
magufuli ni chawa tundu lisu ni tembo linapokuja kilinganishi cha ukubwa wa uzalendo
ccm wanafiki
magu mnafiki
napendekeza kila mzalendo ajaribiwe kwa risasi 38