Ukisoma Degree ya Political Science (Sayansi ya siasa) unategemea kuajiriwa wapi bongo?

Ukisoma Degree ya Political Science (Sayansi ya siasa) unategemea kuajiriwa wapi bongo?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
 
TANZANIA imeharibu maana ya university degree, imelazimisha degree kuwa too specific wakati degree ni general. Leo kuwa bank teller unahitajika kuwa na taaluma ya uhasibu ama mambo ya namna hiyo wakati ilitakiwa wote waliosoma social science na general science waifanye.

Kwenye suala lako kulingana na upeo mdogo wa watanzania hasa Hawa wanaojiita secretariat ya utumishi wa Umma huna Cha kufanya labda uwe political analyst ama political monger lakini kwenye Dunia inayoelewa maana ya degree hiyo unafanya kazi zote za social sciences ikiwemo sociology, ualimu, diplomasia, uongozi, utafiti wa mambo ya siasa, na taaluma zote za humanity.
 
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Ndio wale unaosikia wanaitwa Chawa, kidding 🤣
 
TANZANIA imeharibu maana ya university degree, imelazimisha degree kuwa to specific wakati degree ni general. Leo kuwa bank teller unahitajika kuwa na taaluma ya uhasibu ama mambo ya namna hiyo wakati ilitakiwa wote waliosoma social science na general science waifanye.

Kwenye suala lako kulingana na upeo mdogo wa watanzania hasa Hawa wanaojiita secretariat ya utumishi wa Umma huna Cha kufanya labda uwe political analyst ama political monger lakini kwenye Dunia inayoelewa maana ya degree hiyo unafanya kazi zote za social sciences ikiwemo sociology, na taaluma zote za humanity.
Ni kweli.

Nilishangaa kumkuta jamaa yangu US anafanya kazi kwenye investment bank moja ila ana degree ya Geography. Na sio kitengo maalum, no mtu wa sales kabisa.
 
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Abdul Nondo, kasoma political science
 
Hiyo degree uliyoitaja haipo bali kuna political science and Public administration.
Kabla haijawa kama membe ya msimu,walikuwa wanaajiriwa kwenye utawala,makatibu kata,tarafa nk
 
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
POLITICAL consultant, Political Analyst, Public Administration
 
Ni kweli.

Nilishangaa kumkuta jamaa yangu US anafanya kazi kwenye investment bank moja ila ana degree ya Geography. Na sio kitengo maalum, no mtu wa sales kabisa.
Marekani unaweza kukuta hata mtu wa political science, history, philosophy anafanya kazi ya bank. Mark Zuckerberg wa Facebook chuoni alikuwa anasoma Computer Science and Psychology.
 
Back
Top Bottom