Ukisoma Degree ya Political Science (Sayansi ya siasa) unategemea kuajiriwa wapi bongo?

Ukisoma Degree ya Political Science (Sayansi ya siasa) unategemea kuajiriwa wapi bongo?

Kwanza Siasa si sayansi - hii ni kuidhalilisha sayansi niliyoisosea.

Hiyo inatakiwa iitwe Degree ni Arts with (in) Politics.
Jamaa yangu huelewi maana ya sayansi. Kwa ufupi sayansi ni utatuzi na ugunduzi. Sasa kwenye sehemu ya utatuzi ndiyo inaingia pia kwenye social sciences (sayansi ya jamii) ambapo kwa zamani zilikuwa zinaitwa sociology kabla ya sociology kujitegemea ndipo taaluma zote za maswala ya jamii ikiwemo political sayansi zinakaa
 
Jamaa yangu huelewi maana ya sayansi. Kwa ufupi sayansi ni utatuzi na ugunduzi. Sasa kwenye sehemu ya utatuzi ndiyo inaingia pia kwenye social sciences (sayansi ya jamii) au kwa lugha nyingine inaitwa sociology ndipo taaluma zote za maswala ya jamii ikiwemo political sayansi zinakaa
Utakuwa na wewe umeisomea hiyo hiyo.
 
POLITICAL consultant, Political Analyst, Public Administration
Unaajiriwa kama Political consultant au Political Analyst wapi? Katika taasisi gani? Mbona siasa za Tanzania washindi huwa wanajulikana mapema tu siku zote!
 
Hiyo degree uliyoitaja haipo bali kuna political science and Public administration.
Kabla haijawa kama membe ya msimu,walikuwa wanaajiriwa kwenye utawala,makatibu kata,tarafa nk
Mbona makatibu tarafa na kata kwa miaka mingi wamekuwa wakiajiriwa watu wenye diploma?
 
Nenda makumbusho utakuwakuta wenzako wa political science, sahivi wamefuga ndevu wanauza iphone na perfume makumbusho.

Taaluma za ajabu ajabu achana nazo kabisa mkuu.
 
Jamaa yangu huelewi maana ya sayansi. Kwa ufupi sayansi ni utatuzi na ugunduzi. Sasa kwenye sehemu ya utatuzi ndiyo inaingia pia kwenye social sciences (sayansi ya jamii) ambapo kwa zamani zilikuwa zinaitwa sociology kabla ya sociology kujitegemea ndipo taaluma zote za maswala ya jamii ikiwemo political sayansi zinakaa
Maisha sio rahisi hivyo ndugu....Science ni dude kubwa sana...sio hizi porojo
 
Maisha sio rahisi hivyo ndugu....Science ni dude kubwa sana...sio hizi porojo
Shida ni Nini labda kuitwa political science ama? Kwa taarifa Yako neno sayansi lilianza kutumika kwenye social sciences kabla ya kutumika kwenye Engineering sciences, Astronomy na Aucastic sciences.
 
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Tanzania Kuna shahada ya Political science & public administration; PS & Economics; n.k. Hakuna Shahada ya Political science tupu. Ndani ya hiyo PS wanajiufunza policy studies, public administration, civil society, personnel management n.k. Hivyo wanaajiriwa kama Afisa Utumishi, Afisa Tawala n.k.
 
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?

Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Kwenye uchawa wa wala kwa urefu wa kamba
 
Back
Top Bottom