Ukisoma sio lazima uajiriwe!Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?
Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Ndio wale unaosikia wanaitwa Chawa, kidding 🤣Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?
Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Wanakuwa chawa proHawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?
Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Ni kweli.TANZANIA imeharibu maana ya university degree, imelazimisha degree kuwa to specific wakati degree ni general. Leo kuwa bank teller unahitajika kuwa na taaluma ya uhasibu ama mambo ya namna hiyo wakati ilitakiwa wote waliosoma social science na general science waifanye.
Kwenye suala lako kulingana na upeo mdogo wa watanzania hasa Hawa wanaojiita secretariat ya utumishi wa Umma huna Cha kufanya labda uwe political analyst ama political monger lakini kwenye Dunia inayoelewa maana ya degree hiyo unafanya kazi zote za social sciences ikiwemo sociology, na taaluma zote za humanity.
Huku kwetu mambo Bado sana.Ni kweli.
Nilishangaa kumkuta jamaa yangu US anafanya kazi kwenye investment bank moja ila ana degree ya Geography. Na sio kitengo maalum, no mtu wa sales kabisa.
Abdul Nondo, kasoma political scienceHawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?
Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
POLITICAL consultant, Political Analyst, Public AdministrationHawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu?
Hii degree naona imekaa kimtego sana na kama haina mashiko kabisa kwa nchi kama ya Tanzania.
Marekani unaweza kukuta hata mtu wa political science, history, philosophy anafanya kazi ya bank. Mark Zuckerberg wa Facebook chuoni alikuwa anasoma Computer Science and Psychology.Ni kweli.
Nilishangaa kumkuta jamaa yangu US anafanya kazi kwenye investment bank moja ila ana degree ya Geography. Na sio kitengo maalum, no mtu wa sales kabisa.
Sayansi ya kusema Mama mama mama mama all the time haahKwanza Siasa si sayansi - hii ni kuidhalilisha sayansi niliyoisosea.
Hiyo inatakiwa iitwe Degree ni Arts with (in) Politics.