Ukistaajabu ya Jenista Mhagama utayaona ya Ombeni Sefue NSSF

Ukistaajabu ya Jenista Mhagama utayaona ya Ombeni Sefue NSSF

Mtaongea sana ila majipu lazima yatumbulRuiwe. Yalilelewa sana na awamu iliyopita.

Watumbue Magu wetu gooooo....

Hatuwez kuwaacha mnafanya mambo kienyeji eti

NSSF lazima itumbuliwe ilishafanywa kama sebuleni kwa mtu. Mtaisoma namba na bado...

Hatuwez kuwaacha mnafanya mambo kienyeji eti kwa kigezo mnatumbua majipu hilo haliwezekani.

Ona sasa mnavyokurupuka.

Mnafanya uteuzi wa foreignera wakati wazawa wapo ndiyo nin?

Hata kama mmeshiba chuki serikali haiendeshwi kwa mizuka..!

Tambuen hilo.
 
Hakuna cha kujadili hapa. Hii NI hangover ya kutumbuliwa dr dau . Poleni SANA waathirika ila NI kwa Faida ya wengi . Dau ametumikia Nchi yake na sasa NI zamu ya mwingine
 
Watu kama Jenista mhagama na Ombeni Sefue ndiyo mifano ya wale wanaongoza ofisi za umma kwa mizuka.
 
Hakuna cha kujadili hapa. Hii NI hangover ya kutumbuliwa dr dau . Poleni SANA waathirika ila NI kwa Faida ya wengi . Dau ametumikia Nchi yake na sasa NI zamu ya mwingine

Dr Dau ni mteuele wa Rais hiv sasa ni balozi.

Kwan kaondolewa au kafukuzwa kazi?

Why unaongea kama hutambui nin kinajadiliwa?

The Problem siyo kuondolewa Dr Dau Nssf...

Kwani Dr Dau angefia pale Nssf?..muda wake ungefika angeondoka na ndiyo hivyo kaondoka.

Na Hajaondoka kwa kashfa pale.

Tunachoji hapa ni vitu vya msingi...

Iweje wateuliwe waganda kuchukua nafas ya utumish wa umma ili watanzania wenye sifa wapo?

Wewe hilo hulion unakimbilia kumnanga Dr Dau tuh?

Uko sawa kiakili lkn?.


Sefue na shitindi wanavunja bodi ya nssf kiholela na kinyemela unataka watanzania wasihoji?
 
Hii taasisi ilijigeuza taasisi ya jamii fulani hivi hadi wafanyakazi wake wanaongea mtaani
 
Dr Dau ni mteuele wa Rais hiv sasa ni balozi.

Kwan kaondolewa au kafukuzwa kazi?

Why unaongea kama hutambui nin kinajadiliwa?

The Problem siyo kuondolewa Dr Dau Nssf...

Kwani Dr Dau angefia pale Nssf?..muda wake ungefika angeondoka na ndiyo hivyo kaondoka.

Na Hajaondoka kwa kashfa pale.

Tunachoji hapa ni vitu vya msingi...

Iweje wateuliwe waganda kuchukua nafas ya utumish wa umma ili watanzania wenye sifa wapo?

Wewe hilo hulion unakimbilia kumnanga Dr Dau tuh?

Uko sawa kiakili lkn?.


Sefue na shitindi wanavunja bodi ya nssf kiholela na kinyemela unataka watanzania wasihoji?
Hebu weka majina ya wajumbe wa bodi iliyovunjwa
 
Watu waelewe kwamba no one is crying for Dr Dau...

Dr Dau ni mtu mwenye heshima kubwa nch hii...

Na CV yake is Remakarble..!

And for now he is A Presidential Nominee...

He is now His Excellecy Ambassodor Dr Ramadhan Dau...

Anaondoka Nssf kwa heshima kaacha history dunia yote inafaham...

Tunachojadili ni kwamba haya madudu huku nyuma Nssf yanafanywa kwa maslahi ya nan?

Maslahi ya chuki au maslahi ya Taifa?
 
Issue ya Dr. Dau kuondolewa NSSF imegusa watu sana. Kuna shida gani?
Mleta mada, lete facts tujadili. Ombeni Sefue amevunja bodi ya NSSF, je taarifa rasmi ya serikali iko wapi? Coz siamini kuwa anaweza kuvunja bodi "kinyemela". Na je, huyo Sefue, ana mamlaka a kuvunja bodi yoyote ya shirika la umma, iwe kwa idhini ya raisi au kwa madaraka aliyo nayo?
 
Mkuu ipo haja ya kuwekana sawa katika hili na mengine mengi yanayojiri...
Tangu lini wewe ukafaa kuonewa huruma?
Cha msingi hao usalama wa taifa unaowalilia ndio wamefichua madudu ya Dau na kumshauri Pombe amfukuze kimyakimya na kumpa ubalozi.

Pia hiyo bodi imevunjwa kimyakimya ili kuepuka kuibua madudu yenye connection na Dau.
 
Hebu weka majina ya wajumbe wa bodi iliyovunjwa

Majina ya Bodi siyo suala la siri.

Nenda kwenye website ya Nssf utayakuta.

Na ukiyakuta usiishie hapo tuh...

Nenda kwenye mifuko mingine ya hifadhi ya jamii utayakuta..
 
I now tend to believe the hear say about dr dau sio bure hii reaction baada ya yeye kuondolewa .
 
Astonishing..!

Very very childish comment somebody can dare to make?

Ooh Realy?..so to say that Dr Dau ni jipu na amefanya madudu mengi na President Magufuri kaogopa kumchukulia hatua na kuamua kumuondoa awe balozi?

Does it make sense to you?..

Lakin kwa kua thinking capacity yako imeishia hapo...bora nikuache hapo hapo ulipo.
Tangu lini wewe ukafaa kuonewa huruma?
Cha msingi hao usalama wa taifa unaowalilia ndio wamefichua madudu ya Dau na kumshauri Pombe amfukuze kimyakimya na kumpa ubalozi.

Pia hiyo bodi imevunjwa kimyakimya ili kuepuka kuibua madudu yenye connection na Dau.
 
Hapa naona ni maumivu ya Dau. Ok ngojea tupate hizo facts za kuvunjwa bodi na Sefue ndio at least tunaweza jadili kitu
 
Magu simtofautishi na kocha wa MAN U van gaal ngoja tuone mwisho wa aya mambo itakuaje
 
I now tend to believe the hear say about dr dau sio bure hii reaction baada ya yeye kuondolewa .
Pls Try to organise ur brain..

What reaction?

Hivyo katika kinachojadiliwa kipo kinachoegemea kulalamika kuhusu kuondoka kwa Dr Dau Nssf?...

So kuondoka kwa Dr Dau Nssf na kuwekwa kwa Kaimu Mkurugenz Ambae siyo Mtanzania kwako wewe hapo hoja ni ipi?

Yaani pamoja na kwamba unaamshwa kuhusu uozo huo na uozo mwingine unaofanywa na watu ndan ya uongoz huu wa umma kama sefue na mhagama stil kwako wewe bado umefumba macho?
 
Issue ya Dr. Dau kuondolewa NSSF imegusa watu sana. Kuna shida gani?
Mleta mada, lete facts tujadili. Ombeni Sefue amevunja bodi ya NSSF, je taarifa rasmi ya serikali iko wapi? Coz siamini kuwa anaweza kuvunja bodi "kinyemela". Na je, huyo Sefue, ana mamlaka a kuvunja bodi yoyote ya shirika la umma, iwe kwa idhini ya raisi au kwa madaraka aliyo nayo?
Huyo mheshimiwa naona nae Kakariro maneno ya yule jamaa Jeshi la mtu 1,,,anajiongelesha lkn hasemi kama anayotaarifa Rasmi ya kuvunjwa Bodi
 
Hebu weka majina ya wajumbe wa bodi iliyovunjwa
M/kiti wa bodi alikuwa Abubakar Salum Rajab,Katibu wa bodi ni Ramadhani Dau,wajumbe ni Zuhura Sinare,Boniface Nkakatisi,Almasi Maige,Saidi Magonya,Margareth Ikongo,Omar Ayoub n.k.
 
Back
Top Bottom