Ukistaajabu ya Jenista Mhagama utayaona ya Ombeni Sefue NSSF

Ukistaajabu ya Jenista Mhagama utayaona ya Ombeni Sefue NSSF

Kipi hasa kinachoendelea baina ya Ombeni Sefue na Shitindi ambacho umma wa watanzania unafichwa?
Udini utakumaliza,wewe sasa kubali matokeo kuwa hiyo point yako ya udini imesha pigwa chini
Cc:Fayza Fox
 
mnahaha bure wanufaika Wa. Dr dau tafuteni kazi nyingine mlibebwa bila kuwa na sofa za cheo mlichopewa
 
Tunafahamu kuwa Waziri wa kazi Jenista Mhagama, Katibu Mkuu wizara ya Kazi Eric Shitindi, Waziri wa mambo ya Ndani, Charles Kitwanga Mkurugenzi wa Operations NSSF Crescentius Magori na Director wa Public Relations NSSF Eunice Chiume wanafanya kazi ya ziada kumchafua Dr magazetini lakini kwa nini wahariri wanakubali kutumika kupandikiza mbegu ya chuki na udini?

Kwa nini huu uchochezi unanyamaziwa na vyombo vya dola?

sasa ile habari kuwa Magufuli alipewa taarifa za uwongo juu ya Dr Dau na watu wake (akina Sefue, Shitindi,Kitwanga na Mhagama) hazikukuwa na ukweli wowote ule na hii jitihada yenye harufu ya duni inayotumika sasa imedhihiri wazi kuwa hii vita dhidi ya Dr Dau ni Udini na sidhanii kama Mheshimiwa Magufuli anafurahia haya mambo.

Kwanza Magazeti ya MTANZANIA na DIRA na JAMBO LEO yalimchafua Dr Dau kwakutumia ripoti feki ya CAG

sasa naona RISASI wamekuja na hiii

hatujui kesho na wiki ijayo magazeti yakuja na nini lakini sidhani kama wakoaji wakubwa wa Dr Dau watapendezwa na hili

Pia cha kushangaza kwa nini Dr Dau hajayashitaki haya magazeti yanayomchafua? ni wazi waziri wa Habari Nape anafurahia haya mambo ya kuchafuana magazetini.



20160409_045728.jpg
Kwa taarifa yako tu DAU hachafuliwi la hasha. Yeye ni mchafu kuliko uchafu wa nini da Dar. IPO siku yatakuwa out.
 
Sefue na Shitindi wana agenda maalum na Magori wa nssf.yote hayo yalikua ni kumuandalia mazingira Magori apewe ukurugenzi mkuu wa shirika hilo.Ubinafsi ni kitu kibaya sana,kwani uchafu wa magori unajulikana wazi wazi lakini sefue na shitindi bado walitaka apewe ukurugenzi mkuu wa nssf.
ukiacha yote hayo,system inajua kuwa magori ni team lowasa,licha ya kujifanya kutoa support kwa magufuli wakat wa campaiign za uchaguzi.
Leo shirika linaongozwa na Magori,licha ya kuwa kuna mkurugenzi mkuu mpya.imeonesha wazi kuwa magori ndie anaeongoza shirika hilo.
 
Sio kukurupuka hii ni Serikali ya ,,Moto Chini,, mlizoea ile ya kubebwa na kubembelezwa hapa ,,KAZI TU,, Ukiteuliwa saa saba mchana baadae saa mbili Usiku ukaonekana wew ni JIPU,, tunatengua tu uteuzi,, kaeni kimya akili itawakaa sawa siku za mbele wakati Sukari imeshuka na kuwa kilo Tsh.500/=
KWELI HII SERIKALI YA MIZUKA
 
Wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi...Mawasiliano ni mambo ya Muungano
Hujui kama zanzibar kuna wizara ya mawasiliano?
Zanzibar wana sumatra yao,
Kinachofanyika ni kushare international codes tu lakini haipo katiba yetu
 
Pamoja na kwamba meengi yamezungumzwa kuhusu Shirika La Hifadhi ya jamii la taifa Nssf...Bado Jamii imezid kubakia njia panda na kukosa majibu yenye tija ya kuhusu nin hasa kinachoendelea na kilichojificha Nssf.


Hivi Punde ilizuka hali ya kustaajabisha baada ya Waziri wa kazi na Ajira Mh Jenista Mhagama kufanya uteuzi wa kukurupuka wa mtu wa kukaimu nafasi ya mkurugenz mkuu wa Nssf Nafasi ambayo imeachwa wazi mara baada ya Mkurugenzi Alieacha Mafanikio yasiyo ya Kifani Nssf Dr Ramadhan Dau kuteuliwa kuwa balozi na Mh Rais Dr John Magufuli.

Swali liliobakia hiv sasa baada ya kutokea kwa kioja cha Mh Wazir Jenista Mhagama ni hili la Ombeni Sefue...

Balozi Ombeni Sefue amediriki kinyemela kuvunja bodi ya wakurugenz ya Nssf na kumuondoa hadi Mwenyekiti wa bodi hiyo kinyemela pasi na kuutarifu hata umma wa watanzania...!

Nan kampa mamlaka sefue ya kutengua uteuzi wa Mh Rais Hilo ni moja..

Pili maamuz hayo anayafanya kwa interest ya nani...who is behind who?...

Tatu kikawaida suala la kuvunja bodi ya shirika kubwa la umma kama Nssf siyo dogo ni lazima wananchi kama stake holders wajulishwe na wafahamishwe suala hilo..sasa usiri huo uliopo katika hili sakata zima la Nssf umebeba jambo gani?...

Na Je Mh Rais Usalama wa Taifa wanafanya kazi yao ipasavyo katika kumshauri kwa undani katika masuala kama haya?...

Naomba kuwasilisha.


Hakuna ulichoandika hapa chenye maana zaidi ya kutuonyesha mbumbumbu wa kujua MAMLAKA,sefue ni katibu mkuu kiongozi anayeelekezwa na rais afanye jambo Fulani,sasa kama raisalimuagiza aitaarifu mwenyekiti wa board kuwa ameivunja yeye sefue angemgomea raisi au ukitaka afanyeje.we tulia Dawa ikuingie maana soon na mumeo dau yatawekwa kati
 
The big show at NSSF, balozi wa kigamboni aendelee tu kusubiri .
 
Hili la kuvunja tena Bodi ya NSSF vipi ? Kuna mgongano wa Masilahi ??
 
Back
Top Bottom