THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
- #61
You are right..!
Sahihi kabisa maneno yako...
Kila kitu kina ukomo wake hata katika utumish wa umma mwisho wake ni kustaafu...
Hata kwa Dr Dau bila shaka alibakisha miaka michache sana kustaafu.
Ishu hapa siyo kuondoka kwa Dr Dau Nssf au ni muda gan ambao Dr Dau amekaa na kuhudumu Nssf.
Ishu kubwa ni kwa namna gan ameondolewa?
Kama kwa kustaafu ni sawa...kama ni kwa kupangiwa majukumu mengine na Mh Rais kama hayo ya ubalozi pia ni sawa.
Lakin kwa upande mwingine hatuwez kuvumilia kuona wat wanafanya character assassination kwa kiongoz ambae katika kipine chake choote cha utumish wa umma kafanya kas zake vyema tena kwa inavyopaswa kupongezwa.
Mbaya zaid wengi wao wanakuja kusema hovyo kwa kuhusisha na iman yake katika utendaji wake hii haitaweza kuvumilika...
Kinachofanywa ni kuzid kupandikizwa chuki na uhasama .QUOTE="Masanja, post: 15482152, member: 4617"]So unfortunate that wote wanaolalamika kuhusu NSSF...majority kama sio wote wanaliangalia kwa muktadha wa kidini. Kwamba Dau alikuwa mwenzetu! Ndo maana hoja nyingi za NSSF zinakosa mashiko zinaangaliwa kama propaganda. Kwani ni NSSF pekee? mbona sijaona malalamiko kuhusu TRA, Bandari, Reli nk? What is so special about NSSF? Upo hata uwezekano kwamba wanaolalamika humu hawajawahi hata kuwa na michango yao NSSF?
Na kitu cha kujiuliza DG wa mashirika ya umma..wanakuwa wakurugenzi kwa mda gani? I mean mkataba ni mda gani? Otherwise tuwakumbushe viongozi wetu kuhakikisha kwamba nafasi za juu kama hizi..zinakuwa na ukomo...
Dr. Dau Has been DG wa NSSF for more than 10 years! For whatever's sake..jamani.....let the guy move on! Kuna maisha zaidi ya NSSF! Watanzania tujifunze kutambua kwamba kila kitu na wakati wake! Siamini kwamba mpaka sasa kuna watu wanaona kwamba Dr. Dau alistahili kuendelea pale! Hata President karudi Msoga! Ije kuwa mkurugenzi wa shirika??? Let Dr. Dau go!
Tubadilike! No one and I repeat NO ONE (shouting ;-).....is indispensable in life![/QUOTE]
Sahihi kabisa maneno yako...
Kila kitu kina ukomo wake hata katika utumish wa umma mwisho wake ni kustaafu...
Hata kwa Dr Dau bila shaka alibakisha miaka michache sana kustaafu.
Ishu hapa siyo kuondoka kwa Dr Dau Nssf au ni muda gan ambao Dr Dau amekaa na kuhudumu Nssf.
Ishu kubwa ni kwa namna gan ameondolewa?
Kama kwa kustaafu ni sawa...kama ni kwa kupangiwa majukumu mengine na Mh Rais kama hayo ya ubalozi pia ni sawa.
Lakin kwa upande mwingine hatuwez kuvumilia kuona wat wanafanya character assassination kwa kiongoz ambae katika kipine chake choote cha utumish wa umma kafanya kas zake vyema tena kwa inavyopaswa kupongezwa.
Mbaya zaid wengi wao wanakuja kusema hovyo kwa kuhusisha na iman yake katika utendaji wake hii haitaweza kuvumilika...
Kinachofanywa ni kuzid kupandikizwa chuki na uhasama .QUOTE="Masanja, post: 15482152, member: 4617"]So unfortunate that wote wanaolalamika kuhusu NSSF...majority kama sio wote wanaliangalia kwa muktadha wa kidini. Kwamba Dau alikuwa mwenzetu! Ndo maana hoja nyingi za NSSF zinakosa mashiko zinaangaliwa kama propaganda. Kwani ni NSSF pekee? mbona sijaona malalamiko kuhusu TRA, Bandari, Reli nk? What is so special about NSSF? Upo hata uwezekano kwamba wanaolalamika humu hawajawahi hata kuwa na michango yao NSSF?
Na kitu cha kujiuliza DG wa mashirika ya umma..wanakuwa wakurugenzi kwa mda gani? I mean mkataba ni mda gani? Otherwise tuwakumbushe viongozi wetu kuhakikisha kwamba nafasi za juu kama hizi..zinakuwa na ukomo...
Dr. Dau Has been DG wa NSSF for more than 10 years! For whatever's sake..jamani.....let the guy move on! Kuna maisha zaidi ya NSSF! Watanzania tujifunze kutambua kwamba kila kitu na wakati wake! Siamini kwamba mpaka sasa kuna watu wanaona kwamba Dr. Dau alistahili kuendelea pale! Hata President karudi Msoga! Ije kuwa mkurugenzi wa shirika??? Let Dr. Dau go!
Tubadilike! No one and I repeat NO ONE (shouting ;-).....is indispensable in life![/QUOTE]