Udini utakumaliza,wewe sasa kubali matokeo kuwa hiyo point yako ya udini imesha pigwa chiniKipi hasa kinachoendelea baina ya Ombeni Sefue na Shitindi ambacho umma wa watanzania unafichwa?
Kwa taarifa yako tu DAU hachafuliwi la hasha. Yeye ni mchafu kuliko uchafu wa nini da Dar. IPO siku yatakuwa out.Tunafahamu kuwa Waziri wa kazi Jenista Mhagama, Katibu Mkuu wizara ya Kazi Eric Shitindi, Waziri wa mambo ya Ndani, Charles Kitwanga Mkurugenzi wa Operations NSSF Crescentius Magori na Director wa Public Relations NSSF Eunice Chiume wanafanya kazi ya ziada kumchafua Dr magazetini lakini kwa nini wahariri wanakubali kutumika kupandikiza mbegu ya chuki na udini?
Kwa nini huu uchochezi unanyamaziwa na vyombo vya dola?
sasa ile habari kuwa Magufuli alipewa taarifa za uwongo juu ya Dr Dau na watu wake (akina Sefue, Shitindi,Kitwanga na Mhagama) hazikukuwa na ukweli wowote ule na hii jitihada yenye harufu ya duni inayotumika sasa imedhihiri wazi kuwa hii vita dhidi ya Dr Dau ni Udini na sidhanii kama Mheshimiwa Magufuli anafurahia haya mambo.
Kwanza Magazeti ya MTANZANIA na DIRA na JAMBO LEO yalimchafua Dr Dau kwakutumia ripoti feki ya CAG
sasa naona RISASI wamekuja na hiii
hatujui kesho na wiki ijayo magazeti yakuja na nini lakini sidhani kama wakoaji wakubwa wa Dr Dau watapendezwa na hili
Pia cha kushangaza kwa nini Dr Dau hajayashitaki haya magazeti yanayomchafua? ni wazi waziri wa Habari Nape anafurahia haya mambo ya kuchafuana magazetini.
Wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi...Mawasiliano ni mambo ya MuunganoKwani wizara alipo sasa ni ya mambo yanayohusu muungano?
KWELI HII SERIKALI YA MIZUKASio kukurupuka hii ni Serikali ya ,,Moto Chini,, mlizoea ile ya kubebwa na kubembelezwa hapa ,,KAZI TU,, Ukiteuliwa saa saba mchana baadae saa mbili Usiku ukaonekana wew ni JIPU,, tunatengua tu uteuzi,, kaeni kimya akili itawakaa sawa siku za mbele wakati Sukari imeshuka na kuwa kilo Tsh.500/=
Hujui kama zanzibar kuna wizara ya mawasiliano?Wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi...Mawasiliano ni mambo ya Muungano
Pamoja na kwamba meengi yamezungumzwa kuhusu Shirika La Hifadhi ya jamii la taifa Nssf...Bado Jamii imezid kubakia njia panda na kukosa majibu yenye tija ya kuhusu nin hasa kinachoendelea na kilichojificha Nssf.
Hivi Punde ilizuka hali ya kustaajabisha baada ya Waziri wa kazi na Ajira Mh Jenista Mhagama kufanya uteuzi wa kukurupuka wa mtu wa kukaimu nafasi ya mkurugenz mkuu wa Nssf Nafasi ambayo imeachwa wazi mara baada ya Mkurugenzi Alieacha Mafanikio yasiyo ya Kifani Nssf Dr Ramadhan Dau kuteuliwa kuwa balozi na Mh Rais Dr John Magufuli.
Swali liliobakia hiv sasa baada ya kutokea kwa kioja cha Mh Wazir Jenista Mhagama ni hili la Ombeni Sefue...
Balozi Ombeni Sefue amediriki kinyemela kuvunja bodi ya wakurugenz ya Nssf na kumuondoa hadi Mwenyekiti wa bodi hiyo kinyemela pasi na kuutarifu hata umma wa watanzania...!
Nan kampa mamlaka sefue ya kutengua uteuzi wa Mh Rais Hilo ni moja..
Pili maamuz hayo anayafanya kwa interest ya nani...who is behind who?...
Tatu kikawaida suala la kuvunja bodi ya shirika kubwa la umma kama Nssf siyo dogo ni lazima wananchi kama stake holders wajulishwe na wafahamishwe suala hilo..sasa usiri huo uliopo katika hili sakata zima la Nssf umebeba jambo gani?...
Na Je Mh Rais Usalama wa Taifa wanafanya kazi yao ipasavyo katika kumshauri kwa undani katika masuala kama haya?...
Naomba kuwasilisha.
BIG SHOW, ANGALIA UDINI UISLAMU HAITAKUSAIDIA KITU. MBONA UNAKUWA KAMA NYUMBU?Kipi hasa kinachoendelea baina ya Ombeni Sefue na Shitindi ambacho umma wa watanzania unafichwa?