Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
 
Anapata ujasiri wa kusema haya kwa sababu kuna wanaomsadiki na kumfuatilia. Kwa kifupi ni kuwa ukiona sehemu funza wana-survive basi ujue kuna uozo. Trust me....

Nchi yetu wananchi wake bado kabisa. Ulisikia mahubiri yake kile kipindi cha korona? Ulisikia unabii aliotoa juu ya korona na Magufuli kuibuka shujaa kwenye janga la korona?

Ulisikia alivyosema nchi yetu itakuwa kimbilio la mataifa yaliyoendelea? Huyu jamaa hana tofauti na yule Mackenzie wa Kenya.
 
Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana

By Godwin Mollel

"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Muda Sasa Umefika Wanasiasa Kutafuta Mitaji Yao Ambao ni Wananchi.

Yaani Kama Vile Wameturoga, Kwanza Mwakani Kuna Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Halafu 2025 Uchaguzi Mkuu
 
Japan kuna rede?
 
Anawaona manyani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…