MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wana zengwe
Kuna wakati najiuliza maswali sipati majibu sahihi, mfano ukikaa sehemu ya juu(ghorofani) au ukiwa na video camera say yenye njia 16 alafu ukawa unawaangalia watu, yaani matendo yao, movements zao na harakati zao sehemu kubwa unaweza ukaona mambo mengi yanayofanyika ni ya kichizi sana.
Sehemu kubwa ya raia ni vichaa, askikuambie mtu, mbaya zaidi uwawekee raia kioo, au vioo, alafu uangalie mambo wanayoyafanya wakidhani wako wenyewe, yaani ni uchizi mwingi sana. Kama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa. Uchizi ni mwingi sana
Sio lazima cameraKama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa. Uchizi ni mwingi sana
Nimecheka ka nguvu sana mkuu, uchizi ni mwingi sanaSio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
Kwamba napiga uchizi mwingi?Huu uzi ni mwendelezo wa ulichokiandika. Nakuangalia kwenye camera
Sasa kujikuna makalio Ni jambo la ajabu?Sio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
Hakikisha hio Camera hajaiona kinyume na hapo lazima a-behave, apart from that all of us starting from you yes you as you deep inside kuna image Ile ya mtoto, hivi ushawahi kuona mtoto amekaa tu hivi ukaja wewe akaanza kukuangalia like anatazama kwenye kioo alafu ndani ya kioo ameona kuna mtu anaanza kukagua ukifanya hivi anakuangalia ukifanya hivi ghafla anaanza kucheka, sasa hio IPO kwenye mind yako tangu kipindi unazaliwa na hio haifutiki ni hivyo tu kila mtu ana utoto ndani yake tukianza na wewe, kumbuka ulipokua mtoto ulikuaje?yaani ni uchizi mwingi sana. Kama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa
Funguka mkuu, ume left group?Pampula
Hakika mkuuHakikisha hio Camera hajaiona kinyume na hapo lazima a-behave, apart from that all of us starting from you yes you as you deep inside kuna image Ile ya mtoto, hivi ushawahi kuona mtoto amekaa tu hivi ukaja wewe akaanza kukuangalia like anatazama kwenye kioo alafu ndani ya kioo ameona kuna mtu anaanza kukagua ukifanya hivi anakuangalia ukifanya hivi ghafla anaanza kucheka, sasa hio IPO kwenye mind yako tangu kipindi unazaliwa na hio haifutiki Ni hivyo tu kila mtu ana utoto ndani yake tukianza na wewe, kumbuka ulipokua mtoto ulikuaje?
very smart dude, demu mwenye kalio ana nguvu kuliko PhD holder
Ndio uchizi wenyewe huovery smart dude, demu mwenye kalio ana nguvu kuliko PhD holder