MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Chizi makalioNdio uchizi wenyewe huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chizi makalioNdio uchizi wenyewe huo
Khaaa, sasa anawashwa afanyeje!!!Sio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
kujikuna na kunusa ni uchizi grade oneKhaaa, sasa anawashwa afanyeje!!!
Labda km atajikuna halafu akajinusa mikono
Pambana mkuu, hesabu inaanza na mojaMm uchizi wangu n naweza kupigia hesabu mabilioni ila baada ya hapo ni kupiga miayo tuu na kutia huruma nipate hata chakula cha mchana.
Group la niniFunguka mkuu, ume left group?
Wengine wanakuna mbupu halafu wananusa kama beberu.Sio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
Sio makalio tu wanajikuna mpaka vijambio halafu wananusa!Sio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
Watu wengi ni kama Chizi MaarifaWana zengwe
Kuna wakati najiuliza maswali sipati majibu sahihi, mfano ukikaa sehemu ya juu(ghorofani) au ukiwa na video camera say yenye njia 16 alafu ukawa unawaangalia watu, yaani matendo yao, movements zao na harakati zao sehemu kubwa unaweza ukaona mambo mengi yanayofanyika ni ya kichizi sana.
Sehemu kubwa ya raia ni vichaa, askikuambie mtu, mbaya zaidi uwawekee raia kioo, au vioo, alafu uangalie mambo wanayoyafanya wakidhani wako wenyewe, yaani ni uchizi mwingi sana. Kama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa. Uchizi ni mwingi sana
Kwa sbb ni wachafu sana...ili wawatemee vzr chini..Ndio maana wahindi wanapenda kuishi ghorofani
Unaujua muwasho wa kuaibisha wewe?Sio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana
Hapana,watuone jinsi tulivyo machizi buanaKwa sbb ni wachafu sana...ili wawatemee vzr chini..
Hebu nielimishe mama yangu...Unaujua muwasho wa kuaibisha wewe?
Akikuna lazima anuseSio lazima camera
Nimeona sana watu wanajikuna makalio wakiwa barabarani sehemu ya wazi kabisa
Hua nashangaa sana