Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ameandika kiungwana.Ngoja nikuandikie mimi.Sasa kujikuna makalio Ni jambo la ajabu?
-kuing'oa nguo iliyong'ang'ania katikati ya matako.
-kuingiza mkono usawa wa kibofu na kuanza kujikuna uke/uume.
-kuhojiwa live/mubashar kwenye teevee halafu unabanduabandua makamasi puani halafu unayaangalia na kuyapuliza kwa pozi.
-kupita karibu na nyumba yenye vioo tinted halafu unatengeneza flaizi na kujaribu kupiga masterbation.
Hapo vipi?