Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Hyo ni kawaida kwa watu wa kanda ya ziwa na sio blood groupe, mie nina A+ na maishan nishaumwa malaria mara4 na 3 ni malaria kali sana
Insue ni kuwa kila mtu anajihis yuko given kitu ambacho sio, ingia mtandaon soma, vingi vipo researched kabisa
Wewe huna unalolijua usilete habari za Google mimi naongea medicine hapa unajua kuhusu Duffy antigen?
 
Percentage ya watu wenye O+ ni 38% dunian, then kwenye ukimwi percentage ya watu wenye ukimwi ni 43%
Huon kama sample ya ukimwi ni kubwa kulko kawaida, ingekuwa 38 ingekuwa kawaida ingekuwa chini ya 38 ingekuwa low ila iko above
Tatizo wenye group O mnapenda sana sex na kusocialize
Assume watu wapo 100 basi 38 wana group 0 na hatujaongelea rhesus factor kisha Kati ya watu 100 wenye ukimwi ni 43 je unafaham kuna makundi mangapi ya damu according to ABO system?
 
Wewe huna unalolijua usilete habari za Google mimi naongea medicine hapa unajua kuhusu Duffy antigen?
Yeah, come up with your point, bishana na point na sio unakuja kuingilia mada usioijua kisa umekumbuka kitu ambacho wenda ukijui
 
kitoto kipo hostel kinasimulia wenzake jinsi kinavyomuigizia danga hadi danga anachanganyikiwa

na danga naye yupo humu anatuelezea anavyodangwa hadi anachanganyikiwa 😅😅😅😅

maisha hayaaaa
 
kitoto kipo hostel kinasimulia wenzake jinsi kinavyomuigizia danga hadi danga anachanganyikiwa

na danga naye yupo humu anatuelezea anavyodangwa hadi anachanganyikiwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

maisha hayaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hatareeeh sana.
 
Assume watu wapo 100 basi 38 wana group 0 na hatujaongelea rhesus factor kisha Kati ya watu 100 wenye ukimwi ni 43 je unafaham kuna makundi mangapi ya damu according to ABO system?
Mfano wako ni mfu, mfano kamili na wa kihesabu ni huu
Chukulia kuna watu 1000, basi kati ya hao 1000 watu wenye ukimwi ni 100, kati ya hao 1000 watu wenye group O ni 440, wenye A ni 320 wenye B ni 100 na wenye AB ni 34
Kati ya hao 1000 wenye ukimwi ni watu 100, ambao wenye O na wenye ukimwi ni 50 then wenye A ni 30, wenye B ni 15 na wenye AB ni 5

Math dont lie, mahesabu hayadanganyi, percentage ya wenye O na ukimwi ni kubwa kulko percentage ya populatio ya wenye O
Na weng hamkuelewa probability so shida sio yenu

Data nizotumia ni hizi
,View attachment 1776911
 
kitoto kipo hostel kinasimulia wenzake jinsi kinavyomuigizia danga hadi danga anachanganyikiwa

na danga naye yupo humu anatuelezea anavyodangwa hadi anachanganyikiwa 😅😅😅😅

maisha hayaaaa
😂😂😂
 
age hyo 20-23 vingi vinakuwa km vimenasa vimezaliwa nao, kuna miaka wanandoa ndio walikuwa wakiongoza kwa vvu kabla nafasi hyo kuporwa na viutamu vyako hivyo
 
Back
Top Bottom