Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
nini maana ya msemo fainali uzeeni?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nini maana ya msemo fainali uzeeni?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Wewe huna unalolijua usilete habari za Google mimi naongea medicine hapa unajua kuhusu Duffy antigen?Hyo ni kawaida kwa watu wa kanda ya ziwa na sio blood groupe, mie nina A+ na maishan nishaumwa malaria mara4 na 3 ni malaria kali sana
Insue ni kuwa kila mtu anajihis yuko given kitu ambacho sio, ingia mtandaon soma, vingi vipo researched kabisa
Naona mtoa mada anaongea vitu ambavyo avifaham kwa undani wake group 0 ni very common watu wengi duniani tuna group 0 kwann isiwe wenye O wanakufa zaidiNdio wengi duniani
Assume watu wapo 100 basi 38 wana group 0 na hatujaongelea rhesus factor kisha Kati ya watu 100 wenye ukimwi ni 43 je unafaham kuna makundi mangapi ya damu according to ABO system?Percentage ya watu wenye O+ ni 38% dunian, then kwenye ukimwi percentage ya watu wenye ukimwi ni 43%
Huon kama sample ya ukimwi ni kubwa kulko kawaida, ingekuwa 38 ingekuwa kawaida ingekuwa chini ya 38 ingekuwa low ila iko above
Tatizo wenye group O mnapenda sana sex na kusocialize
Regardless ya RH group 0 ni wengi alafu ndo unakuja kusema tena 0+ ni very very common na 0- ni very rare kama mmKuna Negative na Positive lakini mind you
0- piaRegardless ya RH group 0 ni wengi alafu ndo unakuja kusema tena 0+ ni very very common na 0- ni very rare kama mm
Group O mabingwa, hawapokei HIV....nimesema tu lakiniMzee baba kwani grp O vip heb nidadavulie kidogo
Hajiongezi huyoNaona mtoa mada anaongea vitu ambavyo avifaham kwa undani wake group 0 ni very common watu wengi duniani tuna group 0 kwann isiwe wenye O wanakufa zaidi
Yeah, come up with your point, bishana na point na sio unakuja kuingilia mada usioijua kisa umekumbuka kitu ambacho wenda ukijuiWewe huna unalolijua usilete habari za Google mimi naongea medicine hapa unajua kuhusu Duffy antigen?
Leta hizo tafit ka zipoNyie kila kitu mnataka utafiti! Pitia online usome tafiti zilizochapishwa
Hizo ni za vijiwenNyie kila kitu mnataka utafiti! Pitia online usome tafiti zilizochapishwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hatareeeh sana.kitoto kipo hostel kinasimulia wenzake jinsi kinavyomuigizia danga hadi danga anachanganyikiwa
na danga naye yupo humu anatuelezea anavyodangwa hadi anachanganyikiwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
maisha hayaaaa
Mfano wako ni mfu, mfano kamili na wa kihesabu ni huuAssume watu wapo 100 basi 38 wana group 0 na hatujaongelea rhesus factor kisha Kati ya watu 100 wenye ukimwi ni 43 je unafaham kuna makundi mangapi ya damu according to ABO system?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
😂😂😂kitoto kipo hostel kinasimulia wenzake jinsi kinavyomuigizia danga hadi danga anachanganyikiwa
na danga naye yupo humu anatuelezea anavyodangwa hadi anachanganyikiwa 😅😅😅😅
maisha hayaaaa