Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Yaan chifu..ni visumbufu ila sasa...uta enjoy had useme basi..maana ndo umri wao wa kwenda club.kujirusha..kujarib..yaan kila kitu vinajaribu..tena ukutane na vilivyotoka shule za wasichana pekee .aisee.utaenjoy balaa...kuna ka1 najilia mate popote pale..nakalaga mate samak samak open kabisa ..na fresh tu..na ni kazur balaa.ilaa bado sijakavua nguo...nakusanya nguv kidogo..maana hapa katikat perfomance nilishangaa imeshuka...sjui dada yao kaniroga ama vip
[emoji38][emoji38]
 
Hiyo si furaha bali rafu ya maisha. Nasema hivi: Ukitaka furaha, tafuta shughuli ya halali, fanya kwa bidii, jali afya yako, wasaidie wahitaji, hudhuria church/mosque mwombe Mola, weka malengo na kutumia akili yako kuyatimiza. Furaha kama mafuriko. Au nasema uongo ndugu zangu!???
Niambie Mkuu
 
Naona umeamua kuwadanganya wakulungwa hapa,hilo group lipo vulnerable kwa baadhi ya magonjwa kwan linakuwa resitant kwa dawaa,yaan ugonjwa hauskiii dawaa
Ah safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!
Hi
 
Kuna watu juu naona wanasema watu wengi ulimwenguni ni grouo O,wakati tunajua kuwa group O ni recessive allele sasa huo wingi unatoka wap,maelezo tafadhali kwa mwenye maelezo
 
Ni Kwel mkuu..cha muhimu ni kutumia kinga tu na kuwa mjanja sio unachovya chovya kwaa watu wa ajab ajab..

Mim vitu vyangu ving..vitoto vya chuo..vidada vinavyofanya kaz pharmacy..stationery..supermarket..na vingne huwa navitega pale mcity au kidiwise..wa kazini hapana umri umeenda na weng wake za watu.siwatak hao...
Sasa hapo kwenye hiyo age, wengi wamegongwa cheza vizuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Kwel mkuu..cha muhimu ni kutumia kinga tu na kuwa mjanja sio unachovya chovya kwaa watu wa ajab ajab..

Mim vitu vyangu ving..vitoto vya chuo..vidada vinavyofanya kaz pharmacy..stationery..supermarket..na vingne huwa navitega pale mcity au kidiwise..wa kazini hapana umri umeenda na weng wake za watu.siwatak hao...
Kwahiyo unaendaga mlimani city kutega totoz 😅
 
Hiyo si furaha bali rafu ya maisha. Nasema hivi: Ukitaka furaha, tafuta shughuli ya halali, fanya kwa bidii, jali afya yako, wasaidie wahitaji, hudhuria church/mosque mwombe Mola, weka malengo na kutumia akili yako kuyatimiza. Furaha kama mafuriko. Au nasema uongo ndugu zangu!???
2gether we can talk
 
Back
Top Bottom