Albahi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2020
- 481
- 585
Haha kapime bn usijisifu unadunda shauri yako.Kbe ndio maana mzeya ninadunda tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kapime bn usijisifu unadunda shauri yako.Kbe ndio maana mzeya ninadunda tuu
Group 0 lina siri gani mkuu?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Group O ndio binadamu wanaodumu na ndio damu ambayo haisumbuliwi na magonjwa mbali mbaliGroup 0 lina siri gani mkuu?
Kweli asee mm naweza kaa hata miaka 5 sijaumwa hata maraliaGroup O ndio binadamu wanaodumu na ndio damu ambayo haisumbuliwi na magonjwa mbali mbali
Wote tunapitia hali hio hio hata mie nimeumwa mwezi uliopita ila last time naumwa nafikiri ilikuwaga 2015 ile!Kweli asee mm naweza kaa hata miaka 5 sijaumwa hata maralia
Kwahiyo kumbe grou O tunaruhusiwa kupeta?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Ah safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!Kwahiyo kumbe grou O tunaruhusiwa kupeta?
Wee watu tunao mwaka wa 20 tunadunda tuuHaha kapime bn usijisifu unadunda shauri yako.
Hujafafanua lakini, usije kuniponza ndugu. Binafsi huwa siumwi chochote labda vimafua tu.Ah safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!
Kurahisisha tu ni kuhakikisha mchepuko anakuwa ni, Umri wako Gawanya kwa Mbili plusHapo ndo siri ilipo ndugu zangu...yaan ukitaka mapenz yale yenyew yaan mtoto wa kike anachanganyikiwa...
Hakikisha uko 30s....vihela vidogo vidogo si shida....halafu date hvyo vitoto yaan 20-23
Usicheze nje ya hapo...
Whyyy..
Sabab vitoto ving umr huu vinakua vipo chuo vinasoma na vinakua ving ndo vimeanza mahusiano..weng ndo mahusiano yao ya kwanza au pili...so weng huwa wana mapenz yakwel yale yaliyopitiliza yaan yale ya kukuonea wivu..kukupigia simu kila wakat etc etc
Angalizo...(lazima uwe na vijihela ndugu)
Ukiwa choka mbaya ndgu tusijelaumiana..maana itakua oposite..
Experience imenithibitishia hili...
Kuna katoto naenda nako mwez wa 3 huu...bado sijakagusa lakin aisee ni kama kamechanganyikiwa yan..si ka1 tu..kuna kengne pia..
Ila uzur wake naviheshimu..sjavilala bado...ooh pia namweshimu dada yao ambae niko nae kwasasa..ila sasa kwa speed yao .nahis lolote laweza tokea.
Tusilaumiane.
Uzi tayar...
(Niko mkoa kikazi...raha sana..maana field work naweza ingia mda naotaka mim,hapa najishaur niende au nisiende...ila dodoma kubaya jaman)
Hahahah sasa we unataka kufanya fujo kweli! Sharti ni moja ufanye na O mwenzio ukijichanganya na akina A sijui AB huko tusilaumiane!😅😅😅Hujafafanua lakini, usije kuniponza ndugu. Binafsi huwa siumwi chochote labda vimafua tu.
Na wanasema sisi siku ugonjwa ukitutaitisha hasa uzeeni ndio tunakatika kabisa.
Cheers 🍻 tukutane 70's 😂😂, hapana bana siburuzi hahah!Hahahah sasa we unataka kufanya fujo kweli! Sharti ni moja ufanye na O mwenzio ukijichanganya na akina A sijui AB huko tusilaumiane!😅😅😅
Uzeeni kwa kweli sina hakika ila naona kwetu wazee wana approach 70’s bila major issues! Kuanzia babu mpaka washua! Uzuri wa O haina tatizo la heart attack au failure za moyo! Ikitokea ishu serious basi ni cancer au stroke
Lets meet at the top!😛Cheers 🍻 tukutane 70's 😂😂, hapana bana siburuzi hahah!
Group O lina kipi mkuuuEndelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Wenye group O tusivae arifuEndelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Soma juu hapo kidogo nimeelezaGroup O lina kipi mkuuu
Siyo kweli inateGemeaMbususu mbichi mbichi ...kitu low mileage
Mie kutumia soksi ni mwiko! Kuna maeneo nimekatisha ambako dah! UNI GOLD angeweza kuniumbua ila tunaenda sawa tu mpaka sasa maana i was a pussy killer!Wenye group O tusivae arifu