Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Watembee kifua MbereWenye group O wapige pige kifua au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watembee kifua MbereWenye group O wapige pige kifua au
hapo kwenye group O umemaanisha niniEndelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Pitia thread utaona
Kwa kweliWatembee kifua Mbere
Comment za chiniHili somo la uzinzi linaendelea lini tena?
Group O ni group ya damu mkuu ukiwa nayo unakuwa mgumu kama stout au mandolin😂😂Mzee baba kwani grp O vip heb nidadavulie kidogo
Percentage ya watu wenye O+ ni 38% dunian, then kwenye ukimwi percentage ya watu wenye ukimwi ni 43%Na pia ukae ukijua Group 0 ndo most common group duniani so usishangae
Hyo ni kawaida kwa watu wa kanda ya ziwa na sio blood groupe, mie nina A+ na maishan nishaumwa malaria mara4 na 3 ni malaria kali sanaKweli asee mm naweza kaa hata miaka 5 sijaumwa hata maralia
Kwani mwenye GROUP ''O'' hawezi kupata maambukizi? tafadhali elezea kidogo mkuu.Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Not mzee, wenye O ndo wanakufa sana na ukimwiAh safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!
Fatilia majarida mbalimbali na vitabu vya health, maneno ya vijiwen ni waongo tu, watu ambao wako resistant kwa HIV ni watu wenye higher molecule haijalish uko group gan, but kiuhalisia wenye O ndo hufa sana na uambukizwa sana na ngomaHujafafanua lakini, usije kuniponza ndugu. Binafsi huwa siumwi chochote labda vimafua tu.
Na wanasema sisi siku ugonjwa ukitutaitisha hasa uzeeni ndio tunakatika kabisa.
Angalia asilimia ya wenye O na asilimia ya wenye ngoma wenye OMzee, asilimia nyingi ya watu ulimwengu ni wenye group O kwa hiyo ndio maana waathirika ni wengi
Utafit gan uliotumia au ni maneno ya vijiwenWagumu kuupata na wakiupata unakaa kwa kutulia! [emoji23][emoji23][emoji1787]
Utafiti unaonesha wanaokufa wengi ni O, unasemaje na apoUmeme linapata ila hawaumwi na wanadunda tu miaka nenda rudi!
Not by that muchSababu ni ndogo tu, wapo wengi kuliko makundi mengine.
Ndio wengi dunianiUtafiti unaonesha wanaokufa wengi ni O, unasemaje na apo
Nyie kila kitu mnataka utafiti! Pitia online usome tafiti zilizochapishwaUtafit gan uliotumia au ni maneno ya vijiwen