Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Ukitaka furaha ya kupendwa, uwe na hela, toka na vitoto vya miaka 20-23

Yani wake tunaotaka kuoa sisi ww unawaita vitoto? Duh
 
Na utumie mipira hayo maeneo ukijisahau utapambwa mawaridi
 
Na pia ukae ukijua Group 0 ndo most common group duniani so usishangae
Percentage ya watu wenye O+ ni 38% dunian, then kwenye ukimwi percentage ya watu wenye ukimwi ni 43%
Huon kama sample ya ukimwi ni kubwa kulko kawaida, ingekuwa 38 ingekuwa kawaida ingekuwa chini ya 38 ingekuwa low ila iko above
Tatizo wenye group O mnapenda sana sex na kusocialize
 
Kweli asee mm naweza kaa hata miaka 5 sijaumwa hata maralia
Hyo ni kawaida kwa watu wa kanda ya ziwa na sio blood groupe, mie nina A+ na maishan nishaumwa malaria mara4 na 3 ni malaria kali sana
Insue ni kuwa kila mtu anajihis yuko given kitu ambacho sio, ingia mtandaon soma, vingi vipo researched kabisa
 
Ah safi tu yani! I feel so blessed kuwa O! Piga sarakasi zozote maana ndio grupu imara kuliko yote when it comes to immunity!
Not mzee, wenye O ndo wanakufa sana na ukimwi
 
Hujafafanua lakini, usije kuniponza ndugu. Binafsi huwa siumwi chochote labda vimafua tu.

Na wanasema sisi siku ugonjwa ukitutaitisha hasa uzeeni ndio tunakatika kabisa.
Fatilia majarida mbalimbali na vitabu vya health, maneno ya vijiwen ni waongo tu, watu ambao wako resistant kwa HIV ni watu wenye higher molecule haijalish uko group gan, but kiuhalisia wenye O ndo hufa sana na uambukizwa sana na ngoma
Watu wenye O hawapati heart deseases kwasababu ya tabia yao ya ucheshi na socialization
 
Mzee, asilimia nyingi ya watu ulimwengu ni wenye group O kwa hiyo ndio maana waathirika ni wengi
Angalia asilimia ya wenye O na asilimia ya wenye ngoma wenye O
Wenye O dunian ni asilimia 38 na wenye ngoma dunian ni zaid ya apo,
Au kivingine wenye 0+ dunian ni 38% na wenye ngoma ni 43 wenye 0+
Huon kama ni kubwa zaid
 
Screenshot_20210506-080059.jpg
 
Back
Top Bottom