Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema nini kuhusu group O?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Mzee, asilimia nyingi ya watu ulimwengu ni wenye group O kwa hiyo ndio maana waathirika ni wengi
Hilo group halipati umeme kwani?Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
Wagumu kuupata na wakiupata unakaa kwa kutulia! 😂😂🤣
Umeme linapata ila hawaumwi na wanadunda tu miaka nenda rudi!hilo group halipati umeme kwani?
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo sayansi umeosoma wapi? Kuhusisha magonjwa na Group la damu[emoji23]....Tujilinde na njia za kupata magonjwa kwa aina zake.Hahahah sasa we unataka kufanya fujo kweli! Sharti ni moja ufanye na O mwenzio ukijichanganya na akina A sijui AB huko tusilaumiane![emoji28][emoji28][emoji28]
Uzeeni kwa kweli sina hakika ila naona kwetu wazee wana approach 70’s bila major issues! Kuanzia babu mpaka washua! Uzuri wa O haina tatizo la heart attack au failure za moyo! Ikitokea ishu serious basi ni cancer au stroke
Huwezi linganjsha mbususu ya 30 na ya 22Siyo kweli inateGemea
Na huo ndo ukweli....Sasa mkuu hapo juu anakwambia wenye Group 0 kupata ngoma ni ngumu[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee, asilimia nyingi ya watu ulimwengu ni wenye group O kwa hiyo ndio maana waathirika ni wengi
hahah huyu jamaa bado ana akili za kitoto sana. yaani furaha ninkutembea na 23 20.Endelea na umalaya! Fainali uzeeni mzee baba zingatia kuvaa ndom kama group lako sio “O”
na haya ndio matukizi ya pesa. si umalaya kama mtoa postHiyo si furaha bali rafu ya maisha. Nasema hivi: Ukitaka furaha, tafuta shughuli ya halali, fanya kwa bidii, jali afya yako, wasaidie wahitaji, hudhuria church/mosque mwombe Mola, weka malengo na kutumia akili yako kuyatimiza. Furaha kama mafuriko. Au nasema uongo ndugu zangu!???
Hahaaaaaa kumbe. Asante sana, nilikuwa sifaham hili kumbe napoteza fursaaa. Mimi Ni O-Ma carrier hao! Wanasambaza umeme ila hawapigwi shoti!
Mda huo ndio wa kukusanya hela matumizi utayafanya ukikaribia forty kwenye mid 30’s huko! I think its the best plan sahizi ni kubalance matumizi ya hela tuhahah huyu jamaa bado ana akili za kitoto sana. yaani furaha ninkutembea na 23 20.
at 30 age lazima uwekeze kwenye maendeleo.
huyu fufu yeye ndi kwanza uzinzi
Sababu ni ndogo tu, wapo wengi kuliko makundi mengine.Kihalisia watu wenye group O ndo wenye ngoma wengi kuliko group lolote
View attachment 1773915
View attachment 1773924
yes sir. na si starehe zisizo na maanaMda huo ndio wa kukusanya hela matumizi utayafanya ukikaribia forty kwenye mid 30’s huko! I think its the best plan sahizi ni kubalance matumizi ya hela tu
na kuachana na matagaHiyo si furaha bali rafu ya maisha. Nasema hivi: Ukitaka furaha, tafuta shughuli ya halali, fanya kwa bidii, jali afya yako, wasaidie wahitaji, hudhuria church/mosque mwombe Mola, weka malengo na kutumia akili yako kuyatimiza. Furaha kama mafuriko. Au nasema uongo ndugu zangu!???