Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Ukitaka usiumwe fanya hivi kila siku:
unapo amka asubuhi kula tunda la tufaha (apple) hutoweza kuonana daktari siku nzima.
kula jani la mrehani au punje 1 ya kitunguu saumu hutapata ugonjwa kansa saratani.
kunywa asubuhi juisi ya lemon asubuhi hutapata unene.
kunywa glasi 1 ya maziwa ya ng'ombe hutopatwa na maradhi ya mifupa kuuma mwilini.
kunywa maji ya uvuguvugu lita 3 kwa siku hutopatwa na maradhi yoyote yale.
Jani la Mrehani (Tulsi Lef or Holy Basil)
Mti wa Mrehani (Tulsi Tree or Holy Basil)
unapo amka asubuhi kula tunda la tufaha (apple) hutoweza kuonana daktari siku nzima.
kula jani la mrehani au punje 1 ya kitunguu saumu hutapata ugonjwa kansa saratani.
kunywa asubuhi juisi ya lemon asubuhi hutapata unene.
kunywa glasi 1 ya maziwa ya ng'ombe hutopatwa na maradhi ya mifupa kuuma mwilini.
kunywa maji ya uvuguvugu lita 3 kwa siku hutopatwa na maradhi yoyote yale.
Jani la Mrehani (Tulsi Lef or Holy Basil)
Mti wa Mrehani (Tulsi Tree or Holy Basil)