Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
UKITAKA USIUMWE FANYA HIVI KILA SIKU:
Unapo amka Asubuhi kula Tunda la Tufaha (Apple) Hutoweza kuonana Daktari siku nzima.
Kula jani la Mrehani Au punje 1 ya Kitunguu Saumu hutapata ugonjwa kansa Saratani.
Kunywa asubuhi juisi ya lemon asubuhi hutapata unene.
Kunywa glasi 1 ya maziwa ya ng'ombe hutopatwa na maradhi ya mifupa kuuma mwilini.
Kunywa Maji ya Uvuguvugu lita 3 kwa siku hutopatwa na maradhi yoyote yale.
Jani la Mrehani (Tulsi Lef or Holy Basil)
Mti wa Mrehani (Tulsi Tree or Holy Basil)
Umepatia dada yng! Kwa pwani wanayaita Sijui mpoza jini?
Ila mi Nataka dawa ya kuruka na ungo! Maana mi niko kimila Zaidi!
How!justify your statement!living healthy can sometimes kill u.
haya ni dawa ya mbu halafu..
ukiipata hiyo dawa ukiruka usisite kuja na ile vits
Mungu ampe nguvu huyu daktari wetu wa hiari aendelee kutusaidia!Chukua likes zangu kibao mkuu
haya majani yanapatikana wapi hapa nchini kwetu?hiyo sio dawa ya mbu tu! Ina mambo mengi sn! Ukitembea kwa wazee wa kimila hayo majani mpk mizizi yake hutumika kwa mambo mengi! Ata kwa matatizo ya watoto km kushituka etc. Watu hutumia kuwaogeshea!
Ndege zimepanda sn bei! Ata ujio wa fastjet nao haujatusaidia kitu! Bora nijimilikishe kaungo kangu. Gamboshi mpk dar ni kufumba na kufumbua macho!
Asante mkuu Sasa hilo jani la mrehani linapatikana sehemu gani
Mkuu nashukuru kwa reference uliyoitoa,Mungu akubariki!Mzee wng MziziMkavu aksante sn kwa somo zuri. Na km ungependa kupata mambo mengine ktk swala km hili la afya Na vitu asili tafuta kitabu kiitwacho Turejee Eden cha Ellen G White. Utapata mambo mengi humo mazuri sn!
Asante sn Mkuu!
Mkuu mimi binafsi ni mara yangu ya kwanza kusikia kuhusu hili jani!Sina uhakika kama maeneo ya Tabora yanapatikana!Yako karibu shemu yote ya Tz. Swala Hapo Je unaufahamu Lkn huo mrehani?
Mkuu safi sana,umedadavua vizuri sana!
Jamani kwa wale wakwetu mmea huu si unaitwa MAZENYE au nakosea na kazi yake ni kuoshea mizinga ya nyuki kutokana na harufu yake ni kwamba husaidia kuita nyuki ili waje kwenye mzinga
Pia huwa tunayatumia kama dawa ya utitiri kwa wale tunafuga kuku wakienyeji vipindi vya joto kali utitiri majumbani huwa ni mwingi mno kwahiyo unatumia mea huu kwa kuweka kwenye kona zote za banda la kuku au hata kwenye kona za nyumba yako baada ya masaa 6 unayakusanya na kuyatoa nje then unafagia nyumba yako wadudu wote kwishney
MKUU NASHUKURU SANA KWA DAWA HII